Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ABDULLAH ABDULLAH: Mgombea anayekwamisha matokeo ya uchaguzi Afghanistan

SHUGHULI ya kuhakiki kura nchini Afghanistan inaendelea licha ya wagombea wawili kujiondoa Agosti 27, mwaka huu. Mchakato huo wa kuhesabu upya kura unalenga kusuluhisha mzozo wa uchaguzi ulioibuka kufuatia duru...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Afghanistan:Abdullah asusia hesabu ya kura

Wawakilishi wa mgombe urais katika Uchaguzi wa Afghanistan Abdullah Abdullah wamesusia shughuli ya ukaguzi wa kura

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO MKUU ADC WAMPITISHA, CHIEF LUTASOLA YEMBA KUWA MGOMBEA URAIS TANZANIA BARA, SAID MIRAJI ABDULLAH MGOMBEA MWENZA

 Mgombea urais wa chama cha ADC,  Zanzibar, Hamad Rashid Hamad, akihutubia katika mkutano huo. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba (katikati), akimtambulisha mgombea mwenza wake, Said Miraji (kulia), katika mkutano mkuu wa tatu wa chama hicho uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni mgombea urais wa chama hicho, Zanzibar, Hamad Rashid Hamad.
 Makamu Mwenyekiti wa ADC, Zanzibar, Faki Hamisi Silima,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfalme Abdullah afariki dunia

Mfalme Abdula wa Saudi Arabia afariki dunia akiwa na miaka 91,kutokana na maradhi ya njia ya hewa.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Mfalme Abdullah afariki dunia

Hayyat Mfalme Abdullah
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .

Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.

Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.

King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfalme Abdullah wa Saudia alazwa

Mfalme Abdullah wa Saud Arabia amelazwa hospitalini ili kufanyiwa ukaguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfalme Abdullah:Viongozi waelekea Saudia

Viongozi kutoka sehemu mbali mbali za dunia wanasafiri kuelekea nchini Saudi Arabia kufuatia kifo cha mfalme Abdullah.

 

9 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday mdau Abdullah Zulu Lyana

11168864_10153123228352663_6395227145370489807_n

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mdau mkubwa wa Modewji blog Wakili wa kujitegemea na Mwenyekiti wa CCM Tawi la Sea View Upanga, ABDULLAH ZULU LYANA, (Pichani) anatimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa.

Modewjiblog: Inakutakia maisha marefu, afya njema, baraka tele na Mungu akuongezee hekima maradufu na akuongoze na yaliyo mema kwenye shughuli zako za kila siku.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani