Mfalme Abdullah afariki dunia
Mfalme Abdula wa Saudi Arabia afariki dunia akiwa na miaka 91,kutokana na maradhi ya njia ya hewa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
![](http://www.bigprojectme.com/wp-content/uploads/2013/12/saudi-king-abdulla.jpg)
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia
RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ijKhpZ9wsGK4BT26u3axZV9z0wDFoLD2w3wbb-z2*sJGlXFkbImvGYUJHkYR8gL8EkUKqV*jpAZRhZiiA4S5zyK/bbking.jpg?width=650)
MFALME WA BLUES, BB KING AFARIKI DUNIA
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mfalme Abdullah wa Saudia alazwa
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Mfalme Abdullah:Viongozi waelekea Saudia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnU0WifgWs90liwipsQLu0vATtgagceh9W33b7QbV*Gfu6EXcDTLV0cXs4G91KxeXYwPPiiAYfJsBJMCoC0QOUyT/10933818_10153855376887195_1226112306730163947_n.jpg?width=650)
KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s72-c/download.jpg)
JK AOMBOLEZA KIFO CHA Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud wa saudi Arabia
![](http://1.bp.blogspot.com/--UJPmQxiZlU/VMLNTa6VcgI/AAAAAAAG_O4/_yYwzC-w1bo/s1600/download.jpg)
Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud (90) ambaye alifariki jana, Alhamisi, Januari 22, 2015, na kuzikwa leo, Ijumaa, Januari 23, 2015 mjini Riyadh.Katika salamu zake kwa Mfalme mpya, Mfalme Salman bin Abdul Aziz al Saud, Rais Kikwete amesema kuwa anaungana na wananchi wa Saudi Arabia na dunia nzima kuomboleza kifo cha kiongozi aliyetoa mchango mkubwa...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Rais Kikwete aelekea Saudi Arabia kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amekwenda Saudi Arabia asubuhi ya leo, Jumapili, Januari 25, 2015, kuhani kifo cha Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz al Saud aliyefariki Alhamisi na kuzikwa Ijumaa ya wiki iliyopita.
Baada ya kuhani msiba wa Mfalme Abdullah, Rais Kikwete ataendelea na safari yake kwenda nchi za Ujerumani na Ufaransa kwa ziara za kikazi.
Mjini Berlin, Ujerumani ambako Rais Kikwete alitarajiwa kuwasili kesho, Jumatatu, Januari...