MFALME WA BLUES, BB KING AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ijKhpZ9wsGK4BT26u3axZV9z0wDFoLD2w3wbb-z2*sJGlXFkbImvGYUJHkYR8gL8EkUKqV*jpAZRhZiiA4S5zyK/bbking.jpg?width=650)
 Riley B. King 'BB King'. MFALME wa Blues, mpiga gitaa na mwimbaji, Riley B. King 'BB King' wa nchini Marekani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89 akiwa usingizini huko Las Vegas jana. King alifahamika kwa baadhi ya nyimbo zake kali kama My Lucille, Sweet Little Angel na Rock Me Baby. Marehemu alizaliwa Mississippi na kuanza kutumbuiza miaka ya 1940. Miezi ya nyuma marehemu alikuwa na matatizo ya kiafya na hivi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
![](http://www.bigprojectme.com/wp-content/uploads/2013/12/saudi-king-abdulla.jpg)
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa Saudi Abdullah bin Abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
Tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , Salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
Kabla ya tamko hilo television ya taifa la Saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan ,kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
King Abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mfalme Abdullah afariki dunia
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia
RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-erFma2yaLY8/VSGBe080HpI/AAAAAAADhKE/PZAuTMnRkCA/s72-c/unnamed.jpg)
HISTORIA YAANDIKWA MJINI ADDIS ABABA- WHEN PRINCE OF SWAHILI BLUES MET THE LEGENDARY KING OF ETHIO JAZZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-erFma2yaLY8/VSGBe080HpI/AAAAAAADhKE/PZAuTMnRkCA/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RMm802hP99g/VSGBjYOj8rI/AAAAAAADhKc/zQaxuIfS974/s1600/unnamed-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HovvLRR6jKg/VSGBjZ70AII/AAAAAAADhKQ/71VBiM5giVM/s1600/unnamed-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fc4c9xKmEAY/VSGBjXaSbKI/AAAAAAADhKM/PmlTTtQabqI/s1600/unnamed-3.jpg)
Shabiki kutoka Brazil akimpongeza Dr Mulatu
Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaa
![](http://1.bp.blogspot.com/-kjY8ODK08jE/VSGEwQvBVII/AAAAAAADhKo/cCHx97p2hQY/s1600/unnamed-4.jpg)
Siku ya Jumamosi ya tarehe 4 April 2015 mjini Addis Ababa, historia iliandikwa pale...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--qXRpAvzqp4/U0jaNtyUNxI/AAAAAAAFaKg/GJL6KGLKFcQ/s72-c/unnamed.jpg)
Dkt. Stergomena L. Tax amtembelea Mfalme (King) Mswati II swaziland
![](http://2.bp.blogspot.com/--qXRpAvzqp4/U0jaNtyUNxI/AAAAAAAFaKg/GJL6KGLKFcQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 May
Bingwa wa muziki wa Blues aaga dunia
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia