Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dkt. Stergomena L. Tax amtembelea Mfalme (King) Mswati II swaziland

Mfalme  (King) Mswati II akimkaribisha Dkt. Stergomena L. Tax, Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi Kusini mwa Afrika  (Southern African Development Cooperation - SADC) wakati wa Ziara ya kikazi ya Katibu Mtendaji nchini Swaziland. Katika Ziara hiyo, viongozi hao walisisitiza umuhimu wa kutumia uhimilivu wa kisiasa uliofikiwa katika Kanda ya SADC kama muhimili muhimu katika kuongeza kasi ya kuendeleza maeneo yatakayochochea  maendeleo ya kiuchumi, ikiwa ni pamoja na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mke wa Mfalme Mswati II kufungua Sabasaba

MAONYESHO ya 38 ya kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vywa Mwalimu Nyerere Kilwa yaliyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba yaliyoanza jana yanatarajia kufunguliwa rasmi Jumatano ijayo na Malkia wa Swaziland, Nomsa Matsedula.

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA MFALME MSWATI ZIARANI ZANZIBAR.

Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula kulia akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo kuhusu Mmea wa Mchaichai na faida zake wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar. Mmea wa Mmanjano kama Unavyoonekana ambao ni miongoni mwa mimea yenye faida kubwa ambao hupatikana sehemu ya Kizimbani Zanzibar. Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula Katikati akipata maelezo kuhusu Mmea wa...

 

5 years ago

Michuzi

STATEMENT BY THE SADC EXECUTIVE SECRETARY, HER EXCELLENCY DR, STERGOMENA L TAX ON THE INTERNATIONAL WORKERS’ DAY

On 1st May, the international community commemorates International Workers’ Day to recognise the importance and contribution of workers in development, and to promote workers’ rights. The Southern African Development Community (SADC) joins the rest of the world in celebrating the day.

This year, we celebrate the International Workers’ Day under unusual and extremely difficult circumstances due to challenges and hardships emanating form COVID-19 pandemic, which has led to unprecedented loss...

 

10 years ago

GPL

MFALME WA BLUES, BB KING AFARIKI DUNIA

 Riley B. King 'BB King'. MFALME wa Blues, mpiga gitaa na mwimbaji, Riley B. King 'BB King' wa nchini Marekani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89 akiwa usingizini huko Las Vegas jana. King alifahamika kwa baadhi ya nyimbo zake kali kama My Lucille, Sweet Little Angel na Rock Me Baby.
Marehemu alizaliwa Mississippi na kuanza kutumbuiza miaka ya 1940. Miezi ya nyuma marehemu alikuwa na matatizo ya kiafya na hivi...

 

11 years ago

Michuzi

balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akimkaribisha ofisini kwake balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23 Julai 2014


Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Mwalimu Nyerere Foundation Mhe Dkt. Salim Ahmed Salim akiongea na  balozi mpya wa Ujerumani nchini Tanzania Bwana Egon Kochanke ambaye alifika kujitambulisha kwake na kumjulia hali leo Jumatano 23...

 

10 years ago

Michuzi

Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo


 Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt.Ally Yahaya Simba(Kushoto) akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisini kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akimueleza Dkt. Ally Yahaya Simba (Kushoto) umuhimu wa kuendelea kufanya kazi kwa pamoja kwa lengo la kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta ya mawasiliano,alipomtembelea leo...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR





RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC  Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Tanzania in international tax law : Tax incentives for foreign investment—2

Tanzania in international tax law : Tax incentives for foreign investment—2  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani