Mke wa Mfalme Mswati II kufungua Sabasaba
MAONYESHO ya 38 ya kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vywa Mwalimu Nyerere Kilwa yaliyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba yaliyoanza jana yanatarajia kufunguliwa rasmi Jumatano ijayo na Malkia wa Swaziland, Nomsa Matsedula.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMKE WA MFALME MSWATI ZIARANI ZANZIBAR.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--qXRpAvzqp4/U0jaNtyUNxI/AAAAAAAFaKg/GJL6KGLKFcQ/s72-c/unnamed.jpg)
Dkt. Stergomena L. Tax amtembelea Mfalme (King) Mswati II swaziland
![](http://2.bp.blogspot.com/--qXRpAvzqp4/U0jaNtyUNxI/AAAAAAAFaKg/GJL6KGLKFcQ/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8L2vOyTOsfA/U7qp6gmscWI/AAAAAAAFviI/yXkUExJAabw/s72-c/unnamed+(69).jpg)
MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8L2vOyTOsfA/U7qp6gmscWI/AAAAAAAFviI/yXkUExJAabw/s1600/unnamed+(69).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3uxFLlkrdAI/U7qp6sgE1PI/AAAAAAAFviM/rj7nL1RMJaU/s1600/unnamed+(70).jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Kikwete kufungua Sabasaba Julai Mosi
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kufungua Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) Julai Mosi.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Balozi Idd kufungua Sabasaba leo
>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Idd atafungua Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) leo kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Balozi Seif kufungua maonesho ya Sabasaba leo
WAKATI maonesho ya Sabasaba yakiendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, leo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Dk Seif Ali Idd.
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Wasichana 38 wa sherehe za Mswati wafa
Zaidi ya wasichana 38 wamekufa katika ajali ya gari nchini Swaziland wakati walipokuwa wakisafiri kwenda kwenye sheria ya kitamaduni.
9 years ago
BBCSwahili30 Aug
Sherehe za Mswati zatakiwa kusitishwa
Utawala wa ufalme nchini Swaziland umetakiwa kufutilia mbali sherehe maarufu za kitamaduni baada ya wasichana kadha kuaga dunia
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika
Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania