Balozi Seif kufungua maonesho ya Sabasaba leo
WAKATI maonesho ya Sabasaba yakiendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, leo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Dk Seif Ali Idd.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Balozi Idd kufungua Sabasaba leo
>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Balozi Seif Ali Idd atafungua Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) leo kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MAONESHO YA BIASHARA YA SABASABA
.jpg)
11 years ago
GPL
BALOZI SEIF IDD AZINDUA MAONYESHO YA SABASABA DAR
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi amezindua rasmi maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Dar mchana huu. Maonyesho ya mwaka huu yaliyoanza Juni 28, 2014 yanashirikisha waonyeshaji bidhaa zaidi ya 1,200 kati yake Wizara, Idara na wakala za serikali zaidi ya 60 na makampuni zaidi ya 400 ya kimataifa. Mataifa 31 yanashiriki maonyesho ya mwaka huu...
11 years ago
Michuzi
JK AFANYA ZIARA INGINE TENA KWENYE MAONESHO YA SABASABA LEO



11 years ago
Michuzi01 Jul
Ankal atembelea banda la PPF kwenye maonesho ya sabasaba leo
11 years ago
Michuzi
Taswira mbalimbali katika maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam leo



11 years ago
Michuzi.jpg)
Mama Salma Kikwete atembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es salaam leo
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Dec
MAONESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YAANZA LEO VIWANJA VYA SABASABA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi.jpg)
balozi seif atembelea madaktari bingwa kutoka cuba, akutana na mkurugenzi wa maonesho ya biashara wa uturuki
.jpg)
.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania