Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika

Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sherehe za Mswati zatakiwa kusitishwa

Utawala wa ufalme nchini Swaziland umetakiwa kufutilia mbali sherehe maarufu za kitamaduni baada ya wasichana kadha kuaga dunia

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasichana 38 wa sherehe za Mswati wafa

Zaidi ya wasichana 38 wamekufa katika ajali ya gari nchini Swaziland wakati walipokuwa wakisafiri kwenda kwenye sheria ya kitamaduni.

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA MFALME MSWATI ZIARANI ZANZIBAR.

Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula kulia akipata maelezo kutoka kwa Mwalimu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani Fumu Ali Garo kuhusu Mmea wa Mchaichai na faida zake wakati alipotembelea katika Shanba la Viungo Kizimbani ikiwa ni Miongoni mwa Ziara yake Zanzibar. Mmea wa Mmanjano kama Unavyoonekana ambao ni miongoni mwa mimea yenye faida kubwa ambao hupatikana sehemu ya Kizimbani Zanzibar. Mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Nomsa Matsebula Katikati akipata maelezo kuhusu Mmea wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mke wa Mfalme Mswati II kufungua Sabasaba

MAONYESHO ya 38 ya kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vywa Mwalimu Nyerere Kilwa yaliyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba yaliyoanza jana yanatarajia kufunguliwa rasmi Jumatano ijayo na Malkia wa Swaziland, Nomsa Matsedula.

 

10 years ago

GPL

PENNY AKUMBWA NA MAUZUZA!

Na Imelda Mtema Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ anadaiwa kukumbwa na mauzauza yaliyodaiwa ni mapepo na kujikuta akipiga makelele barabarani. Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’. Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilidai kwamba, ishu hiyo ilijiri maeneo ya Makongo jijini Dar es Salaam, juzikati wakati staa huyo akielekea...

 

11 years ago

Habarileo

Padri akumbwa na kashfa

KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini hapa, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gavana Ndulu akumbwa na kashfa

ALIYEKUWA mfanyakazi wa ndani wa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Benno Ndulu, amedai  kutolipwa haki zake na mwajiri wake huyo baada ya kukatisha mkataba wa kazi nchini Marekani. Pia...

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU

Stori: Makongoro Oging’
WAKATI waumini wa makanisa mbalimbali wamekuwa wakiamini kuwa wachungaji ni watu wenye uwezo wa kuwaondolea matatizo yao, yakiwemo magonjwa, Mchungaji Langeni Mwasibira (39) wa Kanisa la Baptist, lililopo Kyela mkoani Mbeya yupo hoi hospitalini Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mchungaji Langeni Mwasibira. Mchungaji huyo yupo katika mateso makubwa baada ya gonjwa la ajabu kumkumba na kuwapa hofu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani