Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PENNY AKUMBWA NA MAUZUZA!

Na Imelda Mtema Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ anadaiwa kukumbwa na mauzauza yaliyodaiwa ni mapepo na kujikuta akipiga makelele barabarani. Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’. Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilidai kwamba, ishu hiyo ilijiri maeneo ya Makongo jijini Dar es Salaam, juzikati wakati staa huyo akielekea...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Padri akumbwa na kashfa

KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini hapa, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

GPL

MTOTO AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU!

Na Mwandishi Wetu MTOTO Mariam Shabani (5) aishiye Bunju A Zone Kizota nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam  ambaye alizaliwa akiwa mzima, amekumbwa na ugonjwa wa ajabu unaowashangaza wazazi wake. Mtoto Mariam Shabani akiwa katika mateso baada ya kupatwa na gonjwa la ajabu. Mzazi wa mtoto huyo, Idd Shaban aliwaambia waandishi wetu kuwa mwanaye akiwa mchanga alisadikika kuwa na matatizo ya ubongo lakini ukuaji wake ulikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton akumbwa na msongo wa mawazo

Bosi wa timu ya Mercedes Toto Wolff ametanabaisha kuwa dereva wa timu hiyo Lewis Hamilton ataerejea katika hali yake baada ya kupoteza mchezo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika

Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.

 

11 years ago

GPL

MCHUNGAJI AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU

Stori: Makongoro Oging’
WAKATI waumini wa makanisa mbalimbali wamekuwa wakiamini kuwa wachungaji ni watu wenye uwezo wa kuwaondolea matatizo yao, yakiwemo magonjwa, Mchungaji Langeni Mwasibira (39) wa Kanisa la Baptist, lililopo Kyela mkoani Mbeya yupo hoi hospitalini Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mchungaji Langeni Mwasibira. Mchungaji huyo yupo katika mateso makubwa baada ya gonjwa la ajabu kumkumba na kuwapa hofu...

 

10 years ago

GPL

MKE WA MTU AKUMBWA NA MAUTI

Haruni Sanchawa na Denis Mtima/Uwazi
MASKINI! Aneth Solomon (31), mkazi wa Manzese, Dar ambaye ni mke wa mtu, amekumbwa na mauti akiwa ameondoka nyumbani kwa kuaga anakwenda kuhani msiba ukweni kwake, Uwazi lina mkasa mzima. Mwili wa Aneth uliokotwa Februari 21, mwaka huu kwa kukutwa kwenye bonde lililopo katikati ya Magomeni na Kinondoni Mkwajuni, Dar maarufu kwa jina la ‘Msitu wa Kifo’. FAMILIA ILIVYOSEMA
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gavana Ndulu akumbwa na kashfa

ALIYEKUWA mfanyakazi wa ndani wa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Benno Ndulu, amedai  kutolipwa haki zake na mwajiri wake huyo baada ya kukatisha mkataba wa kazi nchini Marekani. Pia...

 

11 years ago

GPL

PENNY: NIMECHUNGULIA KABURI

MTANGAZAJI wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa ugonjwa uliompiga juzikati ulikuwa ‘serious’ kiasi cha kuona ni Mungu tu amemwokoa. Mtangazaji wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa hoi hospitali akisumbuliwa na ugonjwa wa Athma. Akichezesha taya na paparazi wetu, Penny alisema anamshukuru Mungu anaendelea vizuri kwani alikuwa na hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani