PENNY: NIMECHUNGULIA KABURI
![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZusTADv-vOMN*Qsu3V9K1abRMChmyRYU8Ha9jtPUba7Nnomx6tA2XWNkAaA73JC7Q-bh8fM*2OeIeSbfFuoOX0H5/PENNY.jpg?width=650)
MTANGAZAJI wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa ugonjwa uliompiga juzikati ulikuwa ‘serious’ kiasi cha kuona ni Mungu tu amemwokoa. Mtangazaji wa maarufu wa runinga Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa hoi hospitali akisumbuliwa na ugonjwa wa Athma. Akichezesha taya na paparazi wetu, Penny alisema anamshukuru Mungu anaendelea vizuri kwani alikuwa na hali...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzqz2FX8pUyCfsICZYEwu38zOBzedWN3Kl8gLvWSkOzRxKsVkBmcBfwpkMZ8tCQsmP7Z0-H7FF00NseXDlRaQ9Rf/1.jpg?width=650)
DIAMOND,PENNY WAMWAGANA!
Stori: shakoor jongo na mayasa mariwata
NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’ wamemwagana, Risasi Jumamosi limemwagiwa upupu.
...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXz1wS4ZM-LCxPWeNPkN4V4G1TFDRKcuh1lyKif03QPsI4GSansNSeSH9yHvEjpn20e7WrMMmVJpBDx7DEO-7Ltu/PENNY1.jpg)
VJ PENNY AJIACHIA INSTAGRAM
Aliekuwa mpenzi wa Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' mtangazaji na meneja wa vipindi wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mwingila aka VJ Penny akiwa katika pozi kwenye picha alizotupia kwenye mtandao wa…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGh*pqzA-tveWRipSLDexjYh*A3oc1G9S8jGQeUZb6ocYv5wMG2d78AMx5uU0SUtu6u-NH-49sRFfExSk18rwsuY/Penny.jpg)
PENNY AKUMBWA NA MAUZUZA!
Na Imelda Mtema Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’ anadaiwa kukumbwa na mauzauza yaliyodaiwa ni mapepo na kujikuta akipiga makelele barabarani. Prizenta wa Kituo cha Radio E-FM cha jijini Dar, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’. Habari kutoka kwa shuhuda wetu zilidai kwamba, ishu hiyo ilijiri maeneo ya Makongo jijini Dar es Salaam, juzikati wakati staa huyo akielekea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e4QG9g3mWCfDzaHWKULPs4TRs6WtaBFrJgBzTTHwrvnsUtx0daYpJeCzPpBE7oC3WIshtlLuOvFaCcqg7sbBRvXdfHi*AGYz/wema.gif?width=650)
WEMA, PENNY WAPATANA
HATIMAYE mastaa wawili wakubwa Bongo, Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mtangazaji wa Redio EFM, Peniel Mungilwa ‘Penny’ wamepatana baada ya kuwa katika bifu kwa kipindi kirefu, chanzo kikiwa ni penzi la Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Wema Sepetu akiwa na shosti yake Peniel Mungilwa ‘Penny’. Habari za ndani zinaeleza kuwa wawili hao walipatanishwa na mdau mkubwa wa burudani,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrghuWpV4P9lh9WJppApIuqrG1KYwaLxAM0*iMOtLi8iKTouqAgPg1Yw93nUV7PPLrxA3DXqywb4ZWZ1aR3eEALKT/a.jpg)
PENNY LIVE NA MRITHI WA DIAMOND
Mwandishi wetu/ijumaawikienda
Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi. Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa na Swedi. Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yL8HtAgalmLKyrCERuZ-0vwRqFyEFsqyKjUIw3QbqNJoc0p2O1iBGpLh33kHYIS*mq7gdGFpUk1V43vum6pKhGW/penny.jpg)
PENNY: SITAKI KUMSIKIA DIAMOND
Stori: Gladness Mallya
ZILIPENDWA wa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’, amefunguka kuwa hataki kumsikia mpenzi wake huyo wa zamani kwa madai kuwa amefungua ukurasa mpya wa uhusiano na mtu ambaye hata hivyo hakuwa tayari kumweka wazi. Mtangazaji Penniel Mungilwa ‘Penny’. Penny alisema hayo hivi karibuni jijini Dar wakati akizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNNuaBVfDMjT3JNcypXUYFROZKD-E7ZsJGJZB75pQW9nsAl573wFB7t9wIqIzWp4r1r5YKVni7ooTy9CGV8zkGtM/Penny.jpg?width=650)
PENNY AJITABIRIA KUWA MCHUNGAJI
Imelda Mtema
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amejitabiria kuwa huenda siku za baadaye akawa mchungaji maana amekuwa akitabiri mambo flani kisha yanatokea. Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’. Akipiga stori na Ijumaa hivi karibuni, Penny alisema kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7srtJq4yFC6vclZvdG9PccSnjyQUAc9T2Zez9GbNSDlC6tLAc56Xbx6*Wemfz0TRdCCMsjBV7g*kKirjypVl-GE/wema.jpg)
PENNY, WEMA WAMKEJELI DIAMOND
Stori: Imelda Mtema Mastaa wawili hapa Bongo ambao huko nyuma walikuwa katika bifu kali, Wema Sepetu na Penny Mwingilwa wameonekana kumkejeli aliyekuwa mpenzi wao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwa kutumia neno Project. Staa wa bongo Penny Mwingilwa, 'penny'. Mastaa hao walionekana wameweka picha yao wakiwa pamoja wamejilaza chini nyumbani kwa Wema na kuandika kuwa wakiwa katika Project yao neno ambalo lilitumiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania