MTOTO AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU!

Na Mwandishi Wetu MTOTO Mariam Shabani (5) aishiye Bunju A Zone Kizota nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambaye alizaliwa akiwa mzima, amekumbwa na ugonjwa wa ajabu unaowashangaza wazazi wake. Mtoto Mariam Shabani akiwa katika mateso baada ya kupatwa na gonjwa la ajabu. Mzazi wa mtoto huyo, Idd Shaban aliwaambia waandishi wetu kuwa mwanaye akiwa mchanga alisadikika kuwa na matatizo ya ubongo lakini ukuaji wake ulikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MCHUNGAJI AKUMBWA NA GONJWA LA AJABU
11 years ago
GPL
MTOTO MWENYE GONJWA LA AJABU... ATUA INDIA
10 years ago
GPL
GONJWA LA AJABU
11 years ago
GPL
GONJWA LA AJABU LAMTESA
11 years ago
GPL
SARA APATA GONJWA LA AJABU
10 years ago
GPL
DENTI APATA GONJWA LA AJABU!
10 years ago
GPL
WEMA AGUNDULIKA NA GONJWA LA AJABU
11 years ago
GPL
NISHA APATA GONJWA LA AJABU
10 years ago
GPL
GONJWA LA AJABU LAIBUKA JIJINI DAR