Mabalozi 12 EU wamlima Pinda barua kuhusu albino
Mabalozi 12 wa Umoja wa Ulaya (EU), nchini wamemtumia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda barua ya wazi wakimtaka kuchukua hatua stahiki kwa watu waliofanya mauaji ya albino wilayani Bariadi, mkoani Simiyu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo26 Jun
Mabalozi wafichueni wauaji wa albino-CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka mabalozi wa nyumba kumi, kushirikiana na serikali kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kubaini na kufichua mtandao wa wanaohusika.
10 years ago
Habarileo13 Mar
Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto
TUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Mugabe awakemea mabalozi kuhusu ushoga
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-lb6B7jW2oAw/VRAfJ8aKDPI/AAAAAAADRUg/dWNSiyk1Tyw/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
9 years ago
MichuziSerikali yazungumza na Mabalozi kuhusu wajibu wao katika Uchaguzi Mkuu
9 years ago
MichuziMABALOZI MBALIMBALI WAZUNGUMZA KUHUSU MAJUKUMU YAO KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s72-c/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI KUHUSU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s640/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Ulf Kallstig akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) leo jijini Dar es salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f6e869ab-4b74-402f-af98-e06beea37b45.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/94650104-25ea-4f44-a6b5-13c0aefb0a60.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6dfb5317-2731-4406-b729-8655296cd699.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii...
10 years ago
GPL20 Feb
9 years ago
Habarileo21 Nov
Magufuli ataka mitazamo tofauti kuhusu albino
RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.