Magufuli ataka mitazamo tofauti kuhusu albino
RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wasomi watoa mitazamo tofauti uzinduzi wa kampeni za Ukawa
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATAKA WATANZANIA WASITISHANE KUHUSU CORONA NA BADALA YAKE WACHUKUE TAHADHARI
Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 22 Machi, 2020 alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu...
11 years ago
Habarileo07 Jan
RC ataka madiwani wa Bukoba kumaliza tofauti
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe amewashauri madiwani wa Manispaa ya Bukoba kuondoa tofauti zao na kukaa pamoja kutengeneza mipango ya maendeleo ya wananchi wao.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Dk. Migiro ataka albino wasajiliwe
NA EVANS MAGEGE
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro, ameiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), kuwasajili watu wote wenye ulemavu wa ngozi nchini (albino), ili kurahisisha jitihada za serikali za kuwalinda.
Dk. Migiro alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana, wakati akizindua mkakati wa usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi Wilaya ya Kinondoni kwa kueleza kuwa matukio ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi yamelitia doa Taifa katika...
10 years ago
Michuzi26 Sep
SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
![DSC_0519](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05191.jpg)
======= ======= =======Mwanamke albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7,...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05191.jpg)
SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Lowassa ataka Kikwete asaini kunyonga wauaji wa albino
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Uchaguzi wa Magufuli wazua hisia tofauti TZ