Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Migiro ataka albino wasajiliwe

migiroNA EVANS MAGEGE
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro, ameiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), kuwasajili watu wote wenye ulemavu wa ngozi nchini (albino), ili kurahisisha jitihada za serikali za kuwalinda.
Dk. Migiro alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana, wakati akizindua mkakati wa usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa wanafunzi wa shule za msingi Wilaya ya Kinondoni kwa kueleza kuwa matukio ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi yamelitia doa Taifa katika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Migiro aagiza usajili wa watoto albino

Asha Rose Migiro.KATIKA kukabiliana na tatizo la mauaji ya kinyama ya watoto wenye ulemavu nchini, Waziri wa Katiba na Sheria Asha-Rose Migiro, amezitaka mamlaka husika pamoja na wazazi kuungana kwa pamoja na kusajili watoto wote wenye ulemavu huo ili ulinzi wao uwe rahisi kuutekeleza.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli ataka mitazamo tofauti kuhusu albino

RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.

 

10 years ago

Michuzi

SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI

DSC_0519Shuhuda aliyenusurika kwenye mauaji ya Albino ambaye amekatwa mikono yote miwili, Mariam Stanford akitoa ushuhuda wake na killio chake mbele ya meza na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya kimataifa ya amani iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi mmoja.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
=======  =======  =======Mwanamke albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7,...

 

10 years ago

GPL

SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI‏

Shuhuda aliyenusurika kwenye mauaji ya Albino ambaye amekatwa mikono yote miwili, Mariam Stanford akitoa ushuhuda wake na killio chake mbele ya meza na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya kimataifa ya amani iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi mmoja. Mke wa Balozi wa Uturuki nchini Yesim Davutoglu, akilia kwa uchungu… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa ataka Kikwete asaini kunyonga wauaji wa albino

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameitaka jumuiya ya albino nchini kuisukuma Serikali ili Rais Jakaya Kikwete asaini utekelezaji wa hukumu ya kuwanyonga wauaji wa albino.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yataka walimu wasajiliwe

KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa

>Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusaini hukumu ya kunyongwa hadi kufa inayowakabili watu wanne waliopatikana na hatia ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi.

 

10 years ago

Mtanzania

Migiro awavaa maaskofu

migiroNa Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro amewajibu maaskofu akisema Serikali haiko tayari kuona wananchi wanafundishwa jinsi ya kupiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa.
Amesema ni muhimu wananchi waachwe waamue kwa utashi wao wenyewe.
Dk. Migiro amesema Serikali inaunga mkono tamko lililotolewa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kuhusu mustakabali wa Katiba na si makundi ya watu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani