Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi
Inawezekana hofu ya Watanzania kuhusu udhaifu wa mikataba ya gesi asilia inachochewa na idadi ndogo ya wataalamu, mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika taaluma hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Sep
Katiba mpya hisia tofauti
RASIMU ya tatu ambayo imetolewa hadharani juzi na Bunge Maalum la Katiba, imepokewa kwa maoni mbalimbali. Baadhi ya wananchi wameipongeza kwa kuingiza mambo ya msingi na wengine wameonesha kutoridhishwa na rasimu hiyo.
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Uchaguzi wa Magufuli wazua hisia tofauti TZ
11 years ago
Mtanzania10 Oct
Katiba yapokewa kwa hisia tofauti
NA WAANDISHI WETU
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba, watu wa kada mbalimbali wameipokea kwa hisia tofauti.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, walisema kuna mambo mengi muhimu ambayo yameachwa ingawa imechukua zaidi ya asilimia 81 ya mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba.
PROFESA MPANGALA
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Ilani ya CCM yapokewa kwa hisia tofauti
11 years ago
Habarileo13 Aug
Tanzania kuongoza Afrika wataalamu wa gesi
UTEKELEZAJI wa ahadi ya Rais Jakaya Kikwete, ya kumwachia mrithi wake mazingira ya kuongoza nchi tajiri, umeanza kutoa mwanga, ambapo Tanzania sasa inajiandaa kuongoza Afrika kwa kuwa na wataalamu wazawa wa mafuta na gesi.
11 years ago
Habarileo15 Aug
Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Tanzania yasaidiwa kusomesha wataalamu wa gesi
UMOJA wa Ulaya umeisaidia Serikali ya Tanzania katika sekta ya elimu kwa lengo la kupata wataalamu katika sekta ya gesi na petroli ambao kwa sasa wapo wachache. Waziri wa Nishati...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mzumbe Dar kusomesha wataalamu gesi, mafuta
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, Afrika ya Kusini, kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi...
9 years ago
MichuziWataalamu wa Gesi wametakiwa kujifunza kwa Mkandarasi