Wataalamu wa Gesi wametakiwa kujifunza kwa Mkandarasi
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kulia) akimsikiliza Meneja wa Kampuni ya GASCO, Mhandisi Mhandisi Kapuulya Musomba (katikati). Wa Kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Paul Masanja.
Kituo cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba
Baadhi ya mitambo kwenye Kituo cha kuchakata Gesi Asilia cha Madimba.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kushoto) na Naibu wake, Mhandisi Paul Masanja mara baada ya kukagua Kituo cha Kuchakata Gesi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jul
Watanzania kujifunza gesi, mafuta Canada
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kutuma wataalamu kwenda Canada katika Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya jimbo la British Columbia (BC Oil& Gas Commission), kujifunza udhibiti wa mafuta na gesi.
10 years ago
Habarileo22 Nov
Membe ahimiza vijana wengi kujifunza mafuta na gesi
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema ni jukumu la Serikali kuhakikisha nchi inapoelekea katika uchumi wa mafuta na gesi inasomesha vijana wengi zaidi katika sekta hiyo.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.
11 years ago
Habarileo13 Aug
Tanzania kuongoza Afrika wataalamu wa gesi
UTEKELEZAJI wa ahadi ya Rais Jakaya Kikwete, ya kumwachia mrithi wake mazingira ya kuongoza nchi tajiri, umeanza kutoa mwanga, ambapo Tanzania sasa inajiandaa kuongoza Afrika kwa kuwa na wataalamu wazawa wa mafuta na gesi.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Tanzania yasaidiwa kusomesha wataalamu wa gesi
UMOJA wa Ulaya umeisaidia Serikali ya Tanzania katika sekta ya elimu kwa lengo la kupata wataalamu katika sekta ya gesi na petroli ambao kwa sasa wapo wachache. Waziri wa Nishati...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Mzumbe Dar kusomesha wataalamu gesi, mafuta
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, Afrika ya Kusini, kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kufunda wataalamu mafuta na gesi
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, cha Afrika Kusini kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gy2U1SnwQPA/VVNnbxmlUGI/AAAAAAAHXEs/IOUBzl4KVvQ/s72-c/pic%2B1.jpg)
Vijana wametakiwa kukopa na kurudisha marejesho kwa wakati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gy2U1SnwQPA/VVNnbxmlUGI/AAAAAAAHXEs/IOUBzl4KVvQ/s640/pic%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EmC9JJP2ct8/VVNnN7VZVSI/AAAAAAAHXEQ/-JicdXkxIIk/s640/PICS%2B4.jpg)