Vijana wametakiwa kukopa na kurudisha marejesho kwa wakati
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gy2U1SnwQPA/VVNnbxmlUGI/AAAAAAAHXEs/IOUBzl4KVvQ/s72-c/pic%2B1.jpg)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Songea Mh.Norman Sigala King aliyesimama akiongea na Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana (hawapo pichani) ya kujikomboa kiuchumi yanayotolewa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,wa kwanza kutoka kushoto ni KaimuMkurugenzi.
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria Bi. Ester Riwa kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo aliyesimama akitoa mada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Vijana wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi za uongozi
VIJANA wametakiwa kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana, na mmoja wa wagombea...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s72-c/Pix%2B1.jpg)
VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_OUtqzMgaq4/VfeS75GeusI/AAAAAAAH43g/pDlM3PaHYqw/s320/Pix%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Wv2rpi0lkk/VfeTAKv906I/AAAAAAAH434/8RZ2oGpmXfw/s640/Pix%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qx7vJDZvSto/VfeTDShWkDI/AAAAAAAH44A/9pcpMmHBN7I/s640/Pix%2B6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Kongamano la Vijana mkoani Mbeya wakati wa kuadhimisha siku ya vijana duniani
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.
Vijana wakisikiliza kwa makini watoa mada kaika sherehe hiyo iliyofanyika ukumbi wa Mzumbe Mbeya.
Mratibu wa Mradi wa Restless Fadhiri Mtanga akitoa mada kuhusu Maendeleo ya Vijana.
Wakili Stephen John akiwashauri vijana kuto tumika na wanasiasa.
Muwezeshaji wa Sherehe hiyo ya...
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA VIJANA MKOANI MBEYA WAKATI WA KUAZIMISHA SIKU YA VIJANA DUNIANI
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.
9 years ago
MichuziWataalamu wa Gesi wametakiwa kujifunza kwa Mkandarasi
11 years ago
Mwananchi28 May
Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo
9 years ago
MichuziMAAFISA MAGEREZA NCHINI WAMETAKIWA KUACHA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Ni wakati wa kuanzisha benki ya vijana nchini
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...