Ilani ya CCM yapokewa kwa hisia tofauti
Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa na uchumi nchini wamekuwa na maoni tofauti juu ya Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Katiba yapokewa kwa hisia tofauti
NA WAANDISHI WETU
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba, watu wa kada mbalimbali wameipokea kwa hisia tofauti.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, walisema kuna mambo mengi muhimu ambayo yameachwa ingawa imechukua zaidi ya asilimia 81 ya mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba.
PROFESA MPANGALA
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha...
10 years ago
Habarileo26 Sep
Katiba mpya hisia tofauti
RASIMU ya tatu ambayo imetolewa hadharani juzi na Bunge Maalum la Katiba, imepokewa kwa maoni mbalimbali. Baadhi ya wananchi wameipongeza kwa kuingiza mambo ya msingi na wengine wameonesha kutoridhishwa na rasimu hiyo.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Uchaguzi wa Magufuli wazua hisia tofauti TZ
9 years ago
Mzalendo Zanzibar16 Sep
Dk Shein: Nimetekeleza Ilani ya uchaguzi ya CCM kwa vitendo
Tuesday, September 15, 2015 STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Pemba 15.9.2015 Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema […]
The post Dk Shein: Nimetekeleza Ilani ya uchaguzi ya CCM kwa vitendo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi31 Aug
MTEMVU: CCM ITAUPUKUTISHA UPINZANI TEMEKE UCHAGUZI WA MITAA, SIYO KWA NGUVU ILA KWA MATUNDA YA UTEKELEZAJI ILANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g67zKuZwotE/VAKlr92zCHI/AAAAAAAApp4/LNcojRzwvo8/s1600/1.%2BMtemvu%2Bakihutubia%2Bkwenye%2BUwanja%2Bwa%2Bshule%2Bya%2BSokoine%2C%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-LwBjAKG_LHQ/VAKmDo9gGeI/AAAAAAAApqg/ivJzpyp_A-k/s1600/2.%2BMtemvu%2Bakishangiliwa%2Bna%2Bvijana%2Bwakati%2Bakihutubia.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-7JmzKDSd3Vc/VAKmI1VKgrI/AAAAAAAApqo/t7CMqMhoCpg/s1600/3.%2BMtemvu%2Bakimpa%2Bkadi%2Bya%2BUwanachama%2Bwa%2BUWT%2BMaridha%2BRajabu%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo%2C%2Bwanachama%2Bwapya%2B20%2Bwa%2Bjumuia%2Bhiyo%2Bwalipewa%2Bkadi.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-66B-DJCSJWM/VAKmNkCYL4I/AAAAAAAApqw/Lzl5KEQQ6-Y/s1600/4.%2BMtemvu%2Bakimtuza%2BOmari%2BTego%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bhuo.jpg)
5 years ago
MichuziDAWASA IMETEKELEZA ILANI YA CCM KWA ASILIMIA 100- MHANDISI NDIKILO
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani DAWASA wametekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa asilimia 100.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Dawasa iliyopo Mkoa wa Pwani.
Ndikilo ameanza ziara ya siku mbili kutembelea miradi hiyo, ambapo ameipongeza Dawasa kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kusambaza maji kwenye maeneo muhimu ikiwemo Kiwanda cha Nyama Tan...
5 years ago
MichuziRC PWANI AKABIDHIWA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM KUTOKA KWA MAMA SALMA KIKWETE
Mke wa Rais wa awamu ya nne Mama Salma Kikwete ambaye pia alikuwa Mbunge wa kuteuliwa kupitia Mkoa wa Pwani na Lindi amesema ataendelea kushirikiana bega kwa bega na serikali katika miradi mbali mbali ya maendeleo ikiwemo ile ya kimikakati pamoja na kuzitafutia ufumbuzi wa kudumu changamoto ambazo zimekuwa zikiwakabili wananchi.
Kauli hiyo ameitoa wakati wa halfa fupi ya kukabidhi taarifa mbili za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha mapinduzi (CCM)...
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200603-WA0011.jpg)
NHC ILIVYOIBEBA JUU KWA JUU ILANI YA UCHAGUZI YA CCM KWENYE SEKTA YA NYUMBA
![](https://2.bp.blogspot.com/-KzWmrEVrx-w/XuG-7gYkf7I/AAAAAAACM70/7laHBM_b96AUGNHihQgKfxxqDvp2w1ZigCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200603-WA0011.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vMD6kV8lvdg/XuHDHoKb0AI/AAAAAAACM78/DhEGE66AshUO8Q_RVZlkQvir3hqoAnFqgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200602-WA0049.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) ni moja ya mashirika ambayo ni nguzo ya Serikali ya Awamu ya Tano katika uteketezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inayoliongoza taifa kuelekea kwenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025.
Mwandishi maalum ambaye amekuwa akimulika mwenendo wa utendaji wa taasisi na mashirika ya umma, amefanya...