Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katiba yapokewa kwa hisia tofauti

Kikwete na SheinNA WAANDISHI WETU

SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba, watu wa kada mbalimbali wameipokea kwa hisia tofauti.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, walisema kuna mambo mengi muhimu ambayo yameachwa ingawa imechukua zaidi ya asilimia 81 ya mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba.

PROFESA MPANGALA

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ilani ya CCM yapokewa kwa hisia tofauti

Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa na uchumi nchini wamekuwa na maoni tofauti juu ya Ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Habarileo

Katiba mpya hisia tofauti

RASIMU ya tatu ambayo imetolewa hadharani juzi na Bunge Maalum la Katiba, imepokewa kwa maoni mbalimbali. Baadhi ya wananchi wameipongeza kwa kuingiza mambo ya msingi na wengine wameonesha kutoridhishwa na rasimu hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Magufuli wazua hisia tofauti TZ

Kuchaguliwa kwa waziri wa ujenzi nchini Tanzania Daktari John Magufuli kubeba bendera ya chama tawala cha CCM katika uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu kumepokelewa na hisia tofauti na wananchi nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Hisia tofauti kuhusu wataalamu wa gesi

Inawezekana hofu ya Watanzania kuhusu udhaifu wa mikataba ya gesi asilia inachochewa na idadi ndogo ya wataalamu, mabadiliko ya sayansi na teknolojia katika taaluma hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kauli zilizovuta hisia ya wengi Bunge Maalum la Katiba Dodoma

>Ni vigumu kueleza matukio yote yaliyotawala kauli na hisia za wengi kwa wiki nzima mjini Dodoma bila kuangalia  michango ya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti za hoja, fikra ndizo zitaipa nchi Katiba Bora- Ngeze

>Madai ya kutaka Serikali  ya Tanganyika siyo habari mpya kwa Watanzania. Hoja hiyo iliwahi kuutikisa Muungano baada ya kujitokeza kwa kundi  lililoongozwa na wabunge 55 wa chama tawala, CCM kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano.

 

10 years ago

Habarileo

Mapendekezo ya Mbeya igawanywe yapokewa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imepokea maombi ya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) cha Mkoa wa Mbeya yanayopendekeza mkoa huo ugawanywe na kupata mikoa miwili ya Mbeya na Songwe.

 

11 years ago

GPL

NJIA RAHISI ZA KUFIKISHA HISIA KWA UMPENDAYE!-2

NI wakati mwingine mzuri kwa ajili yako msomaji mpendwa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano. Naamini unapata unachotarajia. Leo tunaendelea na somo letu lililoanza wiki iliyopita. Ukweli uko wazi kuwa inapotokea mwanamke akampenda mwanaume huwa kuna ugumu wa kufikisha hisia zake. Ni suala la mfumo na tamaduni zetu. Haikubaliki. Lakini katika nyakati hizi za digitali, mambo yamebadilika. Mwanamke anapohisi kumpenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani