Mapendekezo ya Mbeya igawanywe yapokewa
SERIKALI imepokea maombi ya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) cha Mkoa wa Mbeya yanayopendekeza mkoa huo ugawanywe na kupata mikoa miwili ya Mbeya na Songwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jun
Ashauri Kwimba igawanywe wilaya mbili
MBUNGE wa Sumve, Richard Ndassa ameomba wilaya ya Kwimba igawanywe zipatikane mbili kutokana na kile alichosema ni kubwa na yenye idadi kubwa ya watu.
9 years ago
Habarileo07 Oct
Samia: Ichagueni CCM Tabora igawanywe kwa maendeleo
MGOMBEA mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema, iwapo wananchi wa Tabora watakiwezesha chama hicho kuongoza nchi tena, mkoa huo utaweza kugawanywa ili maendeleo yapatikane kirahisi.
10 years ago
Mtanzania10 Oct
Katiba yapokewa kwa hisia tofauti
NA WAANDISHI WETU
SIKU moja baada ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba, watu wa kada mbalimbali wameipokea kwa hisia tofauti.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jana, walisema kuna mambo mengi muhimu ambayo yameachwa ingawa imechukua zaidi ya asilimia 81 ya mapendekezo ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba.
PROFESA MPANGALA
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Ilani ya CCM yapokewa kwa hisia tofauti
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wqOCcZu2tfE/U0ZE_xngGtI/AAAAAAAFZm0/lU69eVCV2G0/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Timu ya watoto wa mtaani kutoka Tanzania iliyoibuka mabingwa wa dunia katika mchezo wa soka yapokewa kishujaa
![](http://3.bp.blogspot.com/-wqOCcZu2tfE/U0ZE_xngGtI/AAAAAAAFZm0/lU69eVCV2G0/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1_M5Gf_GjsY/U0ZE_9UKdOI/AAAAAAAFZmY/CWrUlqFjeh4/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1ZhnGsirZo/U0ZE_1-KSyI/AAAAAAAFZmc/ua1KUh5pBJQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Mapendekezo ya Zitto balaa
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali(PAC),Zitto Kabwe, amesema kamati yake itatoa hoja ya kuanza mchakato wa kikatiba wa kumvua ujaji, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, jaji Frederick Werema. Mbali...
10 years ago
Mwananchi21 May
Mapendekezo ya CAG yanapuuzwa
11 years ago
Mwananchi17 Feb
TCD yashauri mapendekezo 16
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mapendekezo ya katiba yapishwa:Uganda