Samia: Ichagueni CCM Tabora igawanywe kwa maendeleo
MGOMBEA mwenza wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema, iwapo wananchi wa Tabora watakiwezesha chama hicho kuongoza nchi tena, mkoa huo utaweza kugawanywa ili maendeleo yapatikane kirahisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Sep
Samia: Wanawake ichagueni CCM
MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuipigia kampeni na kukichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kirudi madarakani. Samia alitoa mwito huo mjini Dodoma jana na kueleza kuwa wanawake ni nguzo muhimu kwa chama hicho, hivyo wanalo jukumu kubwa kuhakikisha CCM inashinda.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Samia: Ichagueni CCM itatue kero ya maji
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewaahidi wakazi wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, kuwa endapo wataichagua CCM, itahakikisha inatatua changamoto zinazowakabili ikiwemo maji na umeme.
10 years ago
Habarileo11 Sep
‘Ichagueni CCM ilete viwanda vya chumvi’
WAKAZI wa Mji wa Lindi wameshauriwa kukipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM) kishinde, kilete viwanda vya kusindika chumvi na kuiongezea thamani.
10 years ago
Vijimambo
MAMA SAMIA AMALIZA KAMPENI MKOANI TABORA LEO


11 years ago
Mwananchi19 May
Tabora ‘wamkaanga’ Kapuya, DC kwa Katibu Mkuu CCM
10 years ago
Vijimambo
MAMA SAMIA AFUNIKA TABORA, MAELFU WAFURIKA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI



10 years ago
Habarileo08 Sep
Samia: Wanawake tushirikiane, tusaidiane kujiletea maendeleo
WANAWAKE nchini wametakiwa kuwa na tabia ya kushirikiana na kusaidiana hususani katika mambo ya kujiletea maendeleo.
10 years ago
Mwananchi28 Jun
KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula
10 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua




Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10