Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCD yashauri mapendekezo 16

Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimetoa maazimio 16 likiwemo la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujenga hoja na kuepuka kusukumwa na maslahi binafsi na ya vyama vyao vya siasa katika mchakato wa kupata Katiba mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yashauri viongozi serikalini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewataka viongozi wa serikali za mitaa pamoja na madiwani kutoa taarifa za mipango ya maendeleo na miradi inayopangwa kufanyika katika maeneo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TCAA yashauri makampuni ya ndege kujiunga

MAMLAKA ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imewashauri wawekezaji wa makampuni ya ndege hapa nchini kujiunga na kuanzisha kampuni moja ili kujitanua katika soko la anga. Ushauri huo ulitolewa jana...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT yashauri taka zizalishe ajira nchini

Chama cha ACT Wazalendo kimeishauri Serikali kuhakikisha suala la usafi wa mazingira nchini linakuwa endelevu na kutafuta njia mbadala ya kuzalisha ajira na kukuza uchumi wa nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yashauri wagombea kuwasilisha fomu mapema

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaomba wagombea wote kuanzia ngazi ya udiwani hadi urais, kupeleka fomu zao mapema kwenye tume hiyo ili wapate muda wa kuzipitia na kurekebisha kasoro zinazoweza kujitokeza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi

Ubelgiji imewashauri raia wake kuondoka Burundi, huku Muungano wa Ulaya nao ukipunguza maafisa wake wanaohudumu huko.

 

11 years ago

Mwananchi

Uingereza yashauri kuhusu vigezo vya walimu nchini

Serikali imeshauriwa kuzingatia ubora na vigezo vya kitaaluma wakati wa kuajiri walimu na siyo kuajiri kwa kufuata idadi ya wahitimu katika fani hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya Bunge yashauri DART ipatiwe sehemu ya kodi ya mafuta

WIZARA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetakiwa kuharakisha mchakato wa kupata sheria itakayosaidia Wakala wa Mradi wa Mbasi Yaendayo Haraka (DART) kupata sehemu ya kodi ya...

 

10 years ago

IPPmedia

JK, TCD reach consensus


IPPmedia
JK, TCD reach consensus
IPPmedia
President Kikwete engaged in talks in Dodoma yesterday with leaders of political parties under the umbrella of the TCD on ways to end standoff over the running of the Constituent Assembly. President Jakaya Kikwete and Tanzania Center for Democracy ...
Kikwete, UKAWA meet again over stalled Katiba processDaily News

all 4

 

10 years ago

Mwananchi

TCD, JK kukutana leo Dodoma

Masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa mjini hapa kusikia kile ambacho Rais Jakaya Kikwete alisema ni hatima ya mchakato wa Katiba, atakapokutana na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani