Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubelgiji yashauri raia wake waondoke Burundi

Ubelgiji imewashauri raia wake kuondoka Burundi, huku Muungano wa Ulaya nao ukipunguza maafisa wake wanaohudumu huko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wabelgiji watakiwa waondoke Burundi

Chama tawala nchini Burundi kimewataka raia wote wa Ubelgiji waondoke nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Paris:mshukiwa mkuu ni raia wa Ubelgiji

Kufuatia mashambulizi ya kigaidi mjini Paris uchunguzi unamlenga raia mmoja wa Ubelgiji mwenye asili ya Morocco anayedhaniwa kuwa ndiye aliyepanga njama hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yainyima Burundi msaada

Ubelgiji imesitisha msaada wa aina yoyote kwa Burundi, hasa uliokuwa ukifadhili uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yakatiza msaada kwa Burundi

Ubelgiji imesema haitatoa tena ufadhili kwa miradi inayonufaisha serikali ya Burundi baada ya Pierre Nkurunziza kuchaguliwa kuongoza muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi watoa ya moyoni

Marais Jumuiya ya Afrika Mashariki wanakutana leo jijini Dar Es Salaam kujadili mgogoro wa kisiasa unaendelea nchini Burundi.

 

10 years ago

Habarileo

Raia 4 wa Burundi watupwa jela

RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Raia wa Marekani kuondoka Burundi

Marekani imetaka Raia wake walio nchini Burundi kuondoka nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Kipindupindu chawaua raia 15 wa Burundi

Wakimbizi 15 wa Burundi, wamefariki kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, baada ya kukimbilia usalama wao nchini Tanzania kwa mashua wakitokea nchini mwao Burundi.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA

Hali halisi ya eneo la mpakani ambapo raia wanaokimbia kutoka Burundi wamekwama wakisubiri kuvushwa ili kuingia hifadhini nchini Tanzania. Picha na maelezo kwa hisani ya Wavuti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani