NEC yashauri wagombea kuwasilisha fomu mapema
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaomba wagombea wote kuanzia ngazi ya udiwani hadi urais, kupeleka fomu zao mapema kwenye tume hiyo ili wapate muda wa kuzipitia na kurekebisha kasoro zinazoweza kujitokeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga
Wagombea wanne wa Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Vyama vya CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi na Causta jana wamerejesha fomu za kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo baada ya kukamilisha taratibu za kujaza fomu, huku wale wa CCM na Chadema wakitoa ujumbe mzito wa kuwataka wafuasi wa vyama vyao kutojihusisha na vurugu wakati wa kampeni.
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
5 years ago
Michuzi
ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS


11 years ago
GPL
WAGOMBEA UONGOZI SIMBA WACHUKUA FOMU KWA MBWEMBWE
Aveva akiwasili mtaa wa Msimbazi kwa msafara. ...Akionesha alama ya tatu ambayo alisema maana yake ni pointi tatu ni muhimu kila mechi.…
9 years ago
StarTV21 Aug
Tazama matukio ya leo ya kihistoria ya wagombea wakirudisha fomu
Edward Lowassa amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Dkt. John Pombe Magufuli amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mgombea Urais kupitia TLP, Macmillan Lyimo amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mgombea Urais kupitia ADC, Chief Lutasola Yemba amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mgombea Urais kupitia Chama cha UMMA, Hashim Rungwe amerudisha fomu ya kugombea urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
10 years ago
Mwananchi26 May
NEC yatangaza tarehe ya uteuzi wa wagombea
>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza ratiba ya Uchaguzi Mkuu kwamba Agosti 21, mwaka huu itakuwa ni siku ya uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani.
10 years ago
Vijimambo
DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU NEC

10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
19-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10