DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-zPPu02Yz7eM/VcDR15EgQuI/AAAAAAAD2Vc/N3S_Yi2r9-E/s72-c/1.jpg)
Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) Adman Nyando, akimkabidhi fomu ya kuomba kugombea Urais, Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, leo Agosti 4, 2015, katika Ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana. (Picha na Bashir Nkoromo)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s72-c/1.jpg)
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxTTflN12aE/VdWPTm4WA_I/AAAAAAAAxyQ/kXUr9AjgpLc/s640/2.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Aug
Lowassa aipagawisha Dar, achukua fomu ya urais NEC
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani vinavyounda umoja unaofahamika kwa jina la Ukawa, Edward Lowassa jana alichukua fomu za kuwania rasmi nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vboQU-MO6BM/default.jpg)
Lowassa achukua fomu za Urais Nec, maelfu wamsindikiza
EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa alisema;“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”Aidha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-8uSkFYxEhhE/VXFL2cXq0rI/AAAAAAADqL0/XNz2w4afJSs/s72-c/pic%252Bmaguful%2B%25282%2529.jpg)
Dk Magufuli achukua fomu kimyakimya
![](http://1.bp.blogspot.com/-8uSkFYxEhhE/VXFL2cXq0rI/AAAAAAADqL0/XNz2w4afJSs/s320/pic%252Bmaguful%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Hashim Rungwe achukua fomu, Dk Magufuli leo
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s72-c/5.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a1oLkYH1Uds/VcC1cYJXl_I/AAAAAAAAjLU/b5LGxHXFbpE/s640/7.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)