Dk Magufuli achukua fomu kimyakimya

Tofauti na makada wengine wa CCM ambao walianza kwa kutangaza nia kisha baada ya kuchukua fomu kuzungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, jana alichukua fomu kimyakimya bila kutaka kuzungumza lolote.Badala yake akasema atatafuta muda muafaka wa kuzungumza na vyombo vya habari baada ya kusoma fomu alizopewa na chama chake.Hata hivyo, kwa kifupi kabisa alisema endapo atapata ridhaa ya kuiongoza nchi atatekeleza Ilani ya CCM na kuwaomba Watanzania wamuombee.Dk...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU NEC

10 years ago
Mwananchi04 Aug
Hashim Rungwe achukua fomu, Dk Magufuli leo
10 years ago
Vijimambo
MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA LEO


5 years ago
Michuzi
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
10 years ago
Vijimambo
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS


5 years ago
Michuzi
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais



10 years ago
MichuziWaziri Magufuli achukua fomu ya kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
5 years ago
CCM Blog
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS

10 years ago
Michuzi
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
