Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA Ukonga yashauri viongozi serikalini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewataka viongozi wa serikali za mitaa pamoja na madiwani kutoa taarifa za mipango ya maendeleo na miradi inayopangwa kufanyika katika maeneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yapata viongozi wapya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kimepata viongozi wapya baada ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni. Viongozi wapya waliyochaguliwa ni pamoja na Thomas Nyahende...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA

Mbunge wa Jimbo la Ukonga mh Mwita Waitara akiwa kwenye ziara ya kukagua ukarabati wa barabara za Jimbo lake la Ukonga. Mpaka sasa barabara za mitaa katika Kata tano ambazo ni Msongola, Kivule, Gongolamboto, Majohe na Zingiziwa zimeshafanyiwa marekebisho. Kazi itaendelea kwa kata zingine nane zilizobaki. Kazi Hii inafanyika kwa msaada wa Mbunge wa Ukonga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kivule walia na viongozi Ukonga

WAKAZI wa Kata ya Kivule jijini Dar es Salaam wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kusikiliza kilio chao na kuwaondolea kero ambazo zimedumu muda mrefu katika Kata hiyo. Akizungumza na Waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yasaidia walemavu

CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, Dar es Salaam kimekabidhi kikundi cha wenye ulemavu viti 24 vyenye thamani ya sh 360,0000. Akikabidhi viti  hivyo hivi karibuni yalipo maskani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe avunja uongozi Chadema Ukonga, Ilala

>Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameuvunja uongozi wa chama hicho kwenye majimbo ya Ukonga na Ilala kutokana na kutoelewana kwa muda mrefu baina ya viongozi na kutofanya  vizuri kwa chama hicho kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba 14 mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema Kawe, Ilala, Ukonga wazindua kampeni

Wabunge wanaowania majimbo ya Kawe, Ukonga na Ilala kwa chama cha Chadema, wamezindua kampeni zao jana, huku wagombea wakijinasibu kwa ahadi mbalimbali.

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA AFISA WA GEREZA KUU UKONGA WAAGWA LEO UKONGA JIJINI, DAR ESALAAM

 Baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Magereza waliohudhuria katika hafla ya kuaga mwili wa Marehemu Mkaguzi wa Magereza, Morice Peter. Mke wa Marehemu Mkaguzi wa Magereza, Dorice Peter(kulia) akipewa msaada ndugu wa karibu wakati wa kusindikiza mwili kuelekea kwenye gari tayari kwa safari ya kuelekea Mkoani Morogoro kwenye mazishi.
 Mkaguzi wa Magereza, Seleman Sued wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam akisoma Wasifu wa Mkaguzi wa Magereza Morice Peter aliyefariki juzi Desemba, 2015 katika...

 

11 years ago

Michuzi

Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema

 Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.  Mwenyekiti wa Vijana  mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga akikabdihi kadi ya CCM kwa  moja ya viongozi wa Chadema Meatu waliorudi CCM.  Mwenyekiti wa Vijana  mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga akihutubia wakazi wa wilaya ya Meatu na kuwahakikishia wananchi hao CCM imejipanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani