Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi Kivule walia na viongozi Ukonga

WAKAZI wa Kata ya Kivule jijini Dar es Salaam wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kusikiliza kilio chao na kuwaondolea kero ambazo zimedumu muda mrefu katika Kata hiyo. Akizungumza na Waandishi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KITUNDA- MWEMBENI, KIVULE UKONGA.

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara akikagua sehemu ya barabara Km 3.2 iliyojengwa kwa lami kutoka Kitunda hafi Mwembeni katika Barabara ya Banana hadi Kivule, Jimbo la Ukonga Dar es Salaam. Barabara hiyo inayojengwa na Kampuni ya Nyanza itapunguza adha ya usafiri kwa wakazi wa Kitunda, Kivule na Msongola. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA 


 

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kivule wasikitishwa na Magufuli

WANANCHI katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la Kivule bado halipitiki, baada ya kuharibiwa na mvua wiki iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walia na maafa ya kila mwaka

WANANCHI wa kitongoji cha Mwayunge mjini Igunga mkoani Tabora wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kushindwa kudhibiti maafa yanayotokea kila mwaka nyakati za masika. Wakizungumza na waandishi wa habari kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Chamwino walia kupewa kesi bandia

WAKAZI wa Kijiji cha Msanga Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, wamewalalamikia watendaji wa kijiji hicho na kata kwa kuwakamata wananchi, kuwabambikia kesi na kuwatoza faini bila kuwapatia stakabadhi ya malipo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yashauri viongozi serikalini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewataka viongozi wa serikali za mitaa pamoja na madiwani kutoa taarifa za mipango ya maendeleo na miradi inayopangwa kufanyika katika maeneo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yapata viongozi wapya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kimepata viongozi wapya baada ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni. Viongozi wapya waliyochaguliwa ni pamoja na Thomas Nyahende...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima ‘walia’ na viongozi

Wakulima na wafugaji wa Kijiji cha Kidunda Kata ya Mkulazi Mkoa wa Morogoro Vijijini, wameiomba Serikali kuwawajibisha baadhi ya viongozi, ambao wamekuwa chanzo cha migogoro inayokwamisha shughuli zao za uchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini wakumbuka mashujaa ‘walia’ na wanasiasa

Viongozi wa dini nchini wameendelea kuwataka wanasiasa kuweka kando maslahi binafsi ya vyama vyao katika mchakato wa Mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani