Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wa Kivule wasikitishwa na Magufuli

WANANCHI katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la Kivule bado halipitiki, baada ya kuharibiwa na mvua wiki iliyopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Kivule walia na viongozi Ukonga

WAKAZI wa Kata ya Kivule jijini Dar es Salaam wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kusikiliza kilio chao na kuwaondolea kero ambazo zimedumu muda mrefu katika Kata hiyo. Akizungumza na Waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ulaya wasikitishwa mchakato Katiba

UMOJA wa Ulaya (EU), umesikitishwa na Tanzania kutoitumia fursa ya uundwaji wa Katiba mpya kuiondoa adhabu ya kifo. EU, imeeleza hayo jana katika taarifa yake kwa waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Umoja wa Ulaya wasikitishwa uchaguzi kufutwa Zanzibar

Ujumbe wa Umoja wa Ulaya wasikitishwa kwa kitendo cha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta uchaguzi na matokeo licha ya maoni chanya ya mwenendo wa uchaguzi huo yaliyotolewa na waangalizi wa kimataifa. Umoja huo wa Ulaya wametoa wito kwa ZEC kupitia taarifa yao waliyoituma leo kwa vyombo vya habari.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

magufuli atambulishwa kwa wakazi wa DODOMA

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMhe. Magufuli akiwapa mikono wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini DodomaMgombea wa Urais wa CCM Mhe. John Magufuli akizungumza wakazi wa Dodoma ikiwa sehemu yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani