Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI ALIPOHUTUBIA WAKAZI WA BIHARAMULO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO

  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia na ndugu wa Marehemu Cornel Pastory,alipowasili kwenye kijiji cha Nyakantutu,wilayani Biharamulo.Dkt Magufuli amemaliza mikutano yake ya kampeni mkoani Kigoma na kuelekea nyumbani kwake wilayani Chato kwa mapumziko ya siku mbili,ambapo siku ya jumapili atawahutubia Wananchi mjini humo na kisha kuanza ziara yake mkoani Kagera. Marehemu Cornel Pastory enzi za uhai wake  Dk Magufuli...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akijinadi  kwa wananchi huku akishangiliwa aliposimama kusalimia katika Mji wa Nyakanazi, wilayani Biharamulo, Mkoa wa Kagera leo. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG Wakazi wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wakati wa mkutano wa kampeni Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na hotuba za Dk Magufuli wilayani Kakonko, Kigoma
 Dk Magufuli akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi Mgombea ubunge jimbo la Kakonko, Christopher...

 

9 years ago

Michuzi

DK MAGUFULI ATINGA KIJIJINI KWAKE CHATO , AZURU KABURI LA ALIYEKUWA MWALIMU WAKE WA DARASA LA KWANZA BIHARAMULO

o Dk Magufuli akiwafariji ndugu wa aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza marehemu Cornel Pastory alipozuru kaburi la mwalimu huyo wilayani Biaharamulo Dk Magufuli akiwafariji ndugu wa aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza marehemu, Cornel Pastrory  alipkwenda kuzuru kaburi Mwalimu Cornel Pastory enzi za uhai wake Dk Magufuli akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa mwalimu wake wa darasa la kwanza marehemu, Cornel Pastory. Wananchi wakishangilia baada ya kufurahishwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Habarileo

Wakazi wa Kivule wasikitishwa na Magufuli

WANANCHI katika eneo la Kivule, katika Wilaya ya Ilala wamesikitishwa na kauli ya Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kwamba madaraja yote katika Jiji la Dar es Salaam, sasa yanapitika, wakati eneo la Kivule bado halipitiki, baada ya kuharibiwa na mvua wiki iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani