Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA

Mbunge wa Jimbo la Ukonga mh Mwita Waitara akiwa kwenye ziara ya kukagua ukarabati wa barabara za Jimbo lake la Ukonga. Mpaka sasa barabara za mitaa katika Kata tano ambazo ni Msongola, Kivule, Gongolamboto, Majohe na Zingiziwa zimeshafanyiwa marekebisho. Kazi itaendelea kwa kata zingine nane zilizobaki. Kazi Hii inafanyika kwa msaada wa Mbunge wa Ukonga.

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mbunge wa Ukonga Waitara Mwita kuzishughulikia Kero Za Wananchi

 

Mbunge wa Jimbo la Ukonga Waitara Mwita amewahakikishia wakazi wa jimbo hilo kuendelea kutatua kero zinazowakabili ikiwemo miundombinu ya barabara ambayo inachangia kurudisha nyuma maendeleo ya jimbo hilo.

Amesema ataendelea kutafuta njia mbalimbali za kumaliza changamoto katika jimbo la Ukonga kwa kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwashukuru wakazi hao wa kata ya Gongolamboto...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KITUNDA- MWEMBENI, KIVULE UKONGA.

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara akikagua sehemu ya barabara Km 3.2 iliyojengwa kwa lami kutoka Kitunda hafi Mwembeni katika Barabara ya Banana hadi Kivule, Jimbo la Ukonga Dar es Salaam. Barabara hiyo inayojengwa na Kampuni ya Nyanza itapunguza adha ya usafiri kwa wakazi wa Kitunda, Kivule na Msongola. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA 


 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA

Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake.
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KWENYE MAZISHI YA MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA MAREHEMU EUGENE MWAIPOSA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha Mbunge wa Ukonga Marehemu Eugene Maiposa kabla ya mazishi yake yaliyofanyika leo Juni 06, 2015 nyumbani kwake Ukonga Dar es salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima ya mwisho kwenye Jeneza lenye Mwili wa aliyekua Mbunge wa Ukonga Marehemu Eugene Mwaiposa aliyefariki Ghafla nyumbani kwake Dodoma...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akabidhi kombe kwa washindi wa shindano la Airtel Rising Stars

  Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Ilala Academy Maisala Adam baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa kisoka wa Ilala juzi. Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Temeke All Stars Maulid Jamal baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa kisoka wa Temeke juzi.

 Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA UJENZI WA MADARAJA YA ULONGONI A NA B UKONGA

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwitan Waitara akizungumza wakati wa kukagua maandalizi ya ujenzi wa Daraja la Ulongoni A na ujenzi wa kivuko cha muda cha watembea kwa miguu, Bodaboda na Bajaji katika Jimbo hilo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto. Picha na Richard Mwaikenda
 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA AFISA WA GEREZA KUU UKONGA WAAGWA LEO UKONGA JIJINI, DAR ESALAAM

 Baadhi ya Maofisa wa Jeshi la Magereza waliohudhuria katika hafla ya kuaga mwili wa Marehemu Mkaguzi wa Magereza, Morice Peter. Mke wa Marehemu Mkaguzi wa Magereza, Dorice Peter(kulia) akipewa msaada ndugu wa karibu wakati wa kusindikiza mwili kuelekea kwenye gari tayari kwa safari ya kuelekea Mkoani Morogoro kwenye mazishi.
 Mkaguzi wa Magereza, Seleman Sued wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam akisoma Wasifu wa Mkaguzi wa Magereza Morice Peter aliyefariki juzi Desemba, 2015 katika...

 

10 years ago

Mtanzania

Vikumbo vyaanza jimbo la Ukonga

Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha kompyuta, Anthony Karokola, ametangaza nia yake ya kugombea ubunge Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
Aliwaambia waandishi wa habari ni kwa jinsi gani anavyosukumwa na maendeleo ya wana Ukonga na kutaka kuendeleza alipoishia marehemu Eugine Mwaiposa.
“Nitamuenzi mama Mwaiposa kwa kufuata nyayo zake na kufuata mazuri yote aliyoyafanya na aliyotaka kuyafanya nitayatekeleza,” alisema Karokola.
Alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge wa Ukonga afariki dunia

Eugen Mwaiposa enzi za uhai wakeMBUNGE wa jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (CCM) amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani