Vikumbo vyaanza jimbo la Ukonga
Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha kompyuta, Anthony Karokola, ametangaza nia yake ya kugombea ubunge Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
Aliwaambia waandishi wa habari ni kwa jinsi gani anavyosukumwa na maendeleo ya wana Ukonga na kutaka kuendeleza alipoishia marehemu Eugine Mwaiposa.
“Nitamuenzi mama Mwaiposa kwa kufuata nyayo zake na kufuata mazuri yote aliyoyafanya na aliyotaka kuyafanya nitayatekeleza,” alisema Karokola.
Alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-i-SYeenlO3Y/VmeITSy3biI/AAAAAAAAXYU/MgRAjhqnvv0/s72-c/FB_IMG_1449624581069.jpg)
MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA
9 years ago
Michuzi04 Sep
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA JIMBO LA UKONGA AFARIKI DUNIA BUNGE LAAHIRISHWA
![](http://api.ning.com/files/rWr07F5d70umBcBxylsvxnPfeJ6XW3aCsWsj4epKHXuWinWxskbuzfvxFz8dWiMx1nM7EvgtfRwQIwmpW8W2vaLVqoJ5-gSQ/mwaiposa.jpg)
MBUNGE wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa (CCM) amefariki dunia akiwa nyumbani kwake mkoani Dodoma leo baada ya kusumbuliwa na shinikizo la damu kwa muda mrefu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kwamba marehemu alikuwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu na amefariki akiwa nyumbani kwake Dodoma.
Ameongeza kuwa nyumbani kwa marehemu ni eneo la Chaduru jirani na jengo jipya la Hoteli ya Shabiby barabara...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l-_Xmbitaek/VesSjH7DJAI/AAAAAAAC-fk/PjIBWhfN2B4/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA AITEKA AUNGURUMA JIMBO LA UKONGA JIONI YA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l-_Xmbitaek/VesSjH7DJAI/AAAAAAAC-fk/PjIBWhfN2B4/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rdFUGbsV3CY/VesSjBnBWnI/AAAAAAAC-fc/YaRPy7tB2Y8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nqciv4vahuM/VesSjeiBxrI/AAAAAAAC-fg/aBbGi5GqwYA/s640/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Jerry Slaa arejesha fomu ya kugombea ubunge jimbo la Ukonga
Mjumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ya CCM taifa, Jerry William Silaa akionyesha fomu aliyojaza kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 Mwaka huu nchini kote, wakati aliporejesha fomu hiyo katika ofisi za CCM wilaya ya Ilala aliyoikabidhi kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya ILALA (kushoto).
Jerry Slaa aliongozana na Mwenyekiti wa tawi la Gulukakwalala ambako ndio nyumbani kwake, Mwenyekiti wa CCM kata ya Gongo la Mboto...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Meya Jerry Slaa atekeleza ahadi alizozitoa jimbo la Ukonga
Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akiwasili mkutanoni kwa ajili ya kuwahutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa amezitoa.
Baadhi ya madiwani na viongozi wa CCM kata ya Ukonga wakiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa muda mfupi baadaya kuhutubia mkuatano wa hadhara...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XEk7hZVvuNCPR9p-Y-4MD-8HtF9JAHdXuidqu3n*G8ApvQTFj2H7dmGbXQvRex1vKLBGRAMj4VK1iNSs-9-rVA/IMG_9354.gif?width=650)
JERRY SLAA AREJESHA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s72-c/p11.jpg)
MEYA JERRY SILAA WA ILALA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s640/p11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MiegnJV85NU/VZo8YxKfvHI/AAAAAAAAe3Y/1ald8MaJYj4/s640/s1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XaXT_YVhKBA/VZo8bd64gxI/AAAAAAAAe3o/_IajlyM0g2k/s640/p3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Meya Jerry Slaa wa Ilala atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Ukonga
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s640/p11.jpg)
Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Alhaji Adam Kimbisa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MiegnJV85NU/VZo8YxKfvHI/AAAAAAAAe3Y/1ald8MaJYj4/s640/s1.jpg)
Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa...