Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA SAMIA AITEKA AUNGURUMA JIMBO LA UKONGA JIONI YA LEO

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi atika mutano wa kampeni uliofanyika leo, katika eneo la kwa Warioba, jimbo la Ukonga, Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo). Maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika kwenye mkutano huo.Wasanii waliopo katika kampeni ya Mama Ongea na Mwanao mpigie kura Dk. Magufuli, wakiwa kwenye mkutano huo

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AITEKA KONGA JIONI HII

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi atika mutano wa kampeni uliofanyika leo, katika eneo la kwa Warioba, jimbo la Ukonga, Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo).Maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika kwenye mkutano huo.Wasanii waliopo katika kampeni ya Mama Ongea na Mwanao mpigie kura Dk. Magufuli, wakiwa kwenye mkutano huo

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AITEKA BAGAMOYO JIONI HII

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCm, Mama Samia Sukuhu Hassan, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Ikulu, Bagamoyo mkoa wa Pwani. (Picha na Bashir Nkoromo).Mgombea Ubunge jimbo la Bagamoyo, Shukuru Kawambwa akiomba kura baada ya kutambulishwa na mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Uwanja wa Ikulu mjini Bagamyo.Mjumbe wa NEC, Livingstone Lusinde...

 

9 years ago

CCM Blog

MAMA SAMIA AITEKA MBOZI MKOANI MBEYA LEO

Chopa aliyomo Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ikiwasili kwenye Viwanja vya  Mulowo kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Mbozi mkoani Mbeya, leoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi  baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Mlowo kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika Viwanja vya Mlowo jimbo la Mbozi mkoani Mbeya. Pamoja naye ni Mjumbe wa katai ya kampeni za CCM Kitaifa Mwigulu chemba.Wananchi...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA ATUA ZANZIBAR LEO, KUUNGURUMA KIBANDAMAITI NA DK. SHEIN JIONI HII

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo, kwa ajili ya mkutano wa kampeni utakaofanyika jioni hii kwenye Viwanja vya Demokrasia au Kibanda maiti. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMOMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mume wake, Hafidh Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA KATIKA JIMBO LA KIBAMBA LEO

Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam. Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ua CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasalimia wananchi, alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Vwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, Dar es Salaam.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia, akiwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AFUNIKA JIMBO LA GEITA MJINI LEO

 Maelfu ya wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Geita mjini mkoani Geita leoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni aliofanya leo katika jimbo la Geita mjini mkoani Geita leo
 William Mabula aliyekuwa Mgombea Ubunge jimbo la geita mjini kwa tiketi ya Chadema, lakini chama hichi kikamuengua dakika za...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AFUNIKA JIMBO LA MUSOMA MJINI LEO

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mwisenge jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara leoWananchi wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika leo katika eneo la Mwisenge jimbo la Musoma mjini Wananchi wakiwa wamefurika katika mkutano wa kampeni wa Mama samia uliofanyika leo katika eneo la Mwisenge jimbo la Musoma mjini Aliyekuwa ameomba ridhaa ya kuwania...

 

9 years ago

CCM Blog

MAMA SAMIA ATUA MJINI ZANZIBAR, KUUNGURUMA NA DK. SHEIN LEO UWANJA WA DEMOKRASIA aka KIBANDA MAITI JIONI HII

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye ndege baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar leo, kwa ajili ya mkutano wa kampeni utakaofanyika jioni hii kwenye Viwanja vya Demokrasia au Kibanda maiti
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Mume wake, Hafidh Ameir, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege mjini Zanzibar leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai Ali Vuai
 Mgombea Urais kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AUNGURUMA SUMBAWANGA MJINI

 Bando la kumkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan,likiwa limeshikwa na wananchi katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa  leo Chopa iliyomsafirisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ikiwasili katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini Sumbawanga mkoani Rukwa leo, ambako mgombea huyo alihutubia mkutano mkubwa wa kampeni. Chopa iliyomsafirisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani