Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge wa Ukonga Waitara Mwita kuzishughulikia Kero Za Wananchi

 

Mbunge wa Jimbo la Ukonga Waitara Mwita amewahakikishia wakazi wa jimbo hilo kuendelea kutatua kero zinazowakabili ikiwemo miundombinu ya barabara ambayo inachangia kurudisha nyuma maendeleo ya jimbo hilo.

Amesema ataendelea kutafuta njia mbalimbali za kumaliza changamoto katika jimbo la Ukonga kwa kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.

Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwashukuru wakazi hao wa kata ya Gongolamboto...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

MBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA UKONGA MH. MWITA WAITARA AFANYA UKARABATI WA BARABARA JIMBONI UKONGA

Mbunge wa Jimbo la Ukonga mh Mwita Waitara akiwa kwenye ziara ya kukagua ukarabati wa barabara za Jimbo lake la Ukonga. Mpaka sasa barabara za mitaa katika Kata tano ambazo ni Msongola, Kivule, Gongolamboto, Majohe na Zingiziwa zimeshafanyiwa marekebisho. Kazi itaendelea kwa kata zingine nane zilizobaki. Kazi Hii inafanyika kwa msaada wa Mbunge wa Ukonga.

 

10 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KWENYE MAZISHI YA MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA MAREHEMU EUGENE MWAIPOSA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia kifo cha Mbunge wa Ukonga Marehemu Eugene Maiposa kabla ya mazishi yake yaliyofanyika leo Juni 06, 2015 nyumbani kwake Ukonga Dar es salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima ya mwisho kwenye Jeneza lenye Mwili wa aliyekua Mbunge wa Ukonga Marehemu Eugene Mwaiposa aliyefariki Ghafla nyumbani kwake Dodoma...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge mteule wa Busanda ahidi kutatua kero za wananchi Geita

SAMSUNG CAMERA PICTURES

 Msimamizi  wa Uchaguzi, Ali Kidwaka akitangaza matokeo ya Ubunge jimbo la Busanda na Geita.

SAMSUNG CAMERA PICTURES

Mbunge mteule wa Busanda Bi Lolesia Bukwimba akiongea na Wanahabari mara baaada ya kutangazwa mshindi.

SAMSUNG CAMERA PICTURES

Diwani Mteule wa kata ya Lwamgasa jimbo la Busanda, Joseph Kaparatus akishangilia  ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi.

Na Alphonce Kabilondo, Geita

MBUNGE mteule wa jimbo la Busanda wilayani Geita (CCM), Bi. Lolesia Jeremia Bukwimba amesema kuwa atahakikisha ana shirikiana na wananchi wake...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA HARAKA UJENZI WA MADARAJA YA ULONGONI A NA B UKONGA

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwitan Waitara akizungumza wakati wa kukagua maandalizi ya ujenzi wa Daraja la Ulongoni A na ujenzi wa kivuko cha muda cha watembea kwa miguu, Bodaboda na Bajaji katika Jimbo hilo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto. Picha na Richard Mwaikenda
 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA LAMI KITUNDA- MWEMBENI, KIVULE UKONGA.

 Mbunge wa Jimbo la Ukonga, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara akikagua sehemu ya barabara Km 3.2 iliyojengwa kwa lami kutoka Kitunda hafi Mwembeni katika Barabara ya Banana hadi Kivule, Jimbo la Ukonga Dar es Salaam. Barabara hiyo inayojengwa na Kampuni ya Nyanza itapunguza adha ya usafiri kwa wakazi wa Kitunda, Kivule na Msongola. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA 


 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Ukonga afariki dunia

>Mbunge wa Ukonga (CCM), Eugen Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini Dodoma saa chache baada ya kutoka katika kikao cha 19 cha mkutano wa 20 wa Bunge la 10.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge wa Ukonga afariki dunia

Eugen Mwaiposa enzi za uhai wakeMBUNGE wa jimbo la Ukonga, Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (CCM) amefariki dunia nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana akiwa usingizini.

 

10 years ago

Mtanzania

Mbunge wa Ukonga afariki dunia usingizini

mwaiposaNA ARODIA PETER, DODOMA
MBUNGE wa Ukonga jijini Dar es Salaam, Eugen Mwaiposa (55), amefariki dunia usiku wa kuamkia jana mjini Dodoma akiwa usingizini.
Akitangaza msiba huo bungeni jana, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, alisema Mwaiposa alifariki dunia akiwa nyumbani kwake eneo la Chadulu mjini hapa.
Alisema kwa muda mrefu mbunge huyo aliyeingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010, alikuwa na tatizo la shinikizo la damu.
Wabunge walikuwa wakiendelea kuchangia bajeti ya Wizara ya Afya na...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE EUGENE MWAPOSA AZIKWA UKONGA DAR

Sehemu ya waombolezaji waliofika nyumbani kwa marehemu Eugene Mwaiposa huko  Ukonga Dar. Katikati ni mume wa marehemu, Ally Mwaiposa,  mtoto wao Salimila Mwaiposa (kushoto) na  Mektrida Mwaiposa (kulia). Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, akisalimia waombolezaji wakati alipofika nyumbani wa marehemu…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani