Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi serikalini watakiwa kutoshiriki siasa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Shirika la Haki za Binadamu Kusini mwa Afrika (SAHRiNGON) wametaka viongozi wa serikali kutoshiriki katika kampeni na kuwaachia wanasiasa wenyewe. Mratibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kutoshabikia siasa chafu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiVIONGOZI wa dini nchini wametakiwa kutojihusisha na kampeni chafu za siasa hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ndani ya nyumba za ibada.

 

10 years ago

Michuzi

WANASIASA WATAKIWA KUTOSHIRIKI KATIKA USHAWISHI WA UHARIBIFU WA MISITU NA MAZINGIRA NCHINI

Na Abdulaziz Ahmeid-Dodoma Wanasiasa wameombwa kutoa ushirikiano kwa taasisi na wadau mbalimbali wanaoshughulika na uhifadhi wa misitu na mazingira badala ya wao kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanaoshiriki na kusababisha uharibifu wa mazingira unaondelea kwa kasi hapa nchini. Wito huo umetolewa leo mjini Dodoma na mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa jamii wa usimamizi wa misitu Tanzania(MJUMITA)Bi Rahima Njaidi Wakati wa ufunguzi wa warsha na mkutano mkuu wa 14,ambao umeshirikisha wanachama...

 

10 years ago

GPL

WAAJIRI SERIKALINI WATAKIWA KUTHAMINI MICHEZO

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (Mb) akifungua mashindano ya michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo.
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Bw.Noeli Kazimoto akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo ya SHIMIWI mjini Dodoma leo.…

 

10 years ago

StarTV

Watumishi hewa, wakuu serikalini watakiwa kulitatua

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

TATIZO LA WATUMISHI HEWA: Wakuu wa vitengo serikalini watakiwa kulitatua

 

 

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Profesa Mussa Assad amesema suala la kujitokeza watumishi hewa kila mara serikalini na katika taasisi zake linaweza kuondoka iwapo wakuu wa vitengo husika wataamua kuliondoa.

 

Profesa Assad amesema hayo mkoani Mtwara katika mahojiano maalum na Star TV.

 

Kila mwaka katika Taarifa ya CAG suala la watumishi hewa linaonekana kujirudia...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WATAKIWA KUONDOKANA NA KUTEGEMEA AJIRA ZA SERIKALINI

 Vijana Mkoani Kagera wametakiwa kuondokana na kutegemea ajira toka serikalini badala yake wajijengee mazingira ya kuwezeshwa kwa kukaa katika makundi ili wanufaike na fursa mbali mbali zitolewazo na serikali.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu waziri ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, Ajira, Sera na watu wenye ulemavu Mhe, Anthony Mavunde katika Kongamano la Umoja wa vijana CCM mkoa wa Kagera chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Happiness Runyogote katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...

 

10 years ago

Mtanzania

Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano

Dr-Florence-TurukaNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.

Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”

Akizungumzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Ukonga yashauri viongozi serikalini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewataka viongozi wa serikali za mitaa pamoja na madiwani kutoa taarifa za mipango ya maendeleo na miradi inayopangwa kufanyika katika maeneo...

 

9 years ago

Habarileo

Watendaji watakiwa kutojihusisha na siasa

WATENDAJI katika halmashauri za wilaya mkoani hapa wametakiwa kutojihusisha na masuala ya siasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, badala yake wawaachie wanasiasa kushughulikia kampeni zao.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM watakiwa kuacha siasa za vitisho

mgNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja, amewataka baadhi ya viongozi wa chama hicho kuheshimu haki za wanachama na kuacha siasa za kibabe na kibaguzi kwa kuchunga kauli zao.
Pamoja na hilo, amewataka viongozi hao kutambua hakuna mtu mwenye hatimiliki ndani ya chama hicho ila kila mwanachama ana haki sawa ya kukipigania na kukijenga wakati wote.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mgeja alisema kumekuwa na mambo machafu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani