TCD, JK kukutana leo Dodoma
Masikio ya Watanzania leo yanaelekezwa mjini hapa kusikia kile ambacho Rais Jakaya Kikwete alisema ni hatima ya mchakato wa Katiba, atakapokutana na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s72-c/uk1.jpg)
JK AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s1600/uk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-30ECatlmpqQ/VAL6yo9mBlI/AAAAAAAGX_g/0xDaxhey2fc/s1600/uk4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Rais Kikwete akutana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) ikulu ndogo Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ildl7McSLI/VAL5TmuP0BI/AAAAAAAGX9c/gx9W8b3v7vo/s1600/uk1.jpg)
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lkkb0Jzb_I4/VAL6i-Yar4I/AAAAAAAGX-8/5ED7Dy8bX4c/s1600/uk2.jpg)
Mwenyekiti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s72-c/D92A7195.jpg)
RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD
![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s1600/D92A7195.jpg)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6Y2oS5vaiUO4FHYiM8bzD-9W-C0SRWHOuUBh8KEprvvjQZAAm00RWQ1LznrSJvKEEMpcSVvddv*J6X-kTmGYg27/chawote.jpg?width=650)
PINDA KUKUTANA NA SURPRISE LEO DODOMA
10 years ago
IPPmedia31 Aug
JK to meet TCD in Dodoma today
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete is expected to meet chairmen and secretaries of political parties under the umbrella of Tanzania Center for Democracy (TCD) at St Gasper grounds in Dodoma Region today. According to the official statement availed to The ...
10 years ago
Habarileo15 Oct
NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii
SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s72-c/_MG_3099.jpg)
KAMATI KUU YA CCM KUKUTANA MEI 23,DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s640/_MG_3099.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7QBW6DNpgc/VVc5PTcGkOI/AAAAAAAHXpY/zPV_81Skivo/s640/_MG_3030.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Mar
Wajumbe Baraza Kuu Wazazi kukutana Dodoma
WAJUMBE 150 wa Baraza Kuu la Umoja wa Wazazi Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watakutana mjini Dodoma kwa ajili ya kupata mafunzo juu ya Katiba Inayopendekezwa ili wawe chachu ya kuhamasisha wanachama na wananchi kuipigia kura ya ndiyo.