NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii
SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Nov
Maaskofu, wachungaji kukutana Dar wiki hii
MAASKOFU pamoja na wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo wanatarajia kushiriki katika mkutano wa kitaifa wiki hii jijini Dar es Salaam, ambao timu ya wataalamu 15 wa masuala ya biashara kutoka Nigeria, watazungumza.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s72-c/_MG_3099.jpg)
KAMATI KUU YA CCM KUKUTANA MEI 23,DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pHtt_seVB5U/VVc5M-phWhI/AAAAAAAHXpQ/HpOBLtXYA2M/s640/_MG_3099.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7QBW6DNpgc/VVc5PTcGkOI/AAAAAAAHXpY/zPV_81Skivo/s640/_MG_3030.jpg)
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Wiki ya CCM iliyotikisa Dodoma
MISURURU mirefu ya magari, baadhi ya watu kukesha kwenye majumba ya starehe na wengine kulazimika
Mwandishi Wetu
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mashindano ya Tanzania Movie Talents kutua Dodoma kusaka vipaji Jumamosi ya wiki hii
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled9.jpg)
Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mwanza
Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwaajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza katika Kanda ya Kati ambapo mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya...
10 years ago
Habarileo15 Feb
Wajumbe wa NEC wa CCM Dodoma waonywa
MWENYEKITI CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya mkoa huo kuacha kujitwisha misalaba ya wagombea urais huku wakiwa hawajui hatma ya maeneo yao wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s72-c/IMGL0622.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s640/IMGL0622.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pZtwWjf61VA/VaJodZi-wZI/AAAAAAAHpBM/i5ZVPFCDU78/s640/IMGL0621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LE52u3rOGIY/VaJpp0bu0tI/AAAAAAAHpBs/BdcKBrVYaso/s640/IMGL0248.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hXvdlETxLo/VaJr-Wa5PQI/AAAAAAAHpDg/UbBEJo7VsS8/s640/IMG_3887%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Aug
Hatma ya wawania ubunge CCM wiki hii
CHAMA Cha Mpinduzi (CCM) kimeingia katika hatua za mwisho za mchakato wa kuwapata wagombea ubunge, uwakilishi na udiwani kwa majina yote kufikishwa kwenye vikao vya juu kabisa vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) vinavyofanyika mjini hapa ili kujadiliwa na hatimaye kupitishwa.