Mashindano ya Tanzania Movie Talents kutua Dodoma kusaka vipaji Jumamosi ya wiki hii
Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mwanza
Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwaajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza katika Kanda ya Kati ambapo mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUHAMIA KANDA YA KATI MKOANI DODOMA, ZOEZI LA KUTAFUTA WASHINDI KUANZA JUMAMOSI YA WIKI HII
Promotions Limited - Mwanza Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania Movie Talents (TMT) kinaondoka leo asubuhi Mkoani Mwanza Kuelekea Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuendelea na shindano la kusaka vipaji vya kuigiza.
Katika Kanda ya Kati mashindano yatafanyika Mkoani Dodoma katika Ukumbi wa African Dream kuanzia Jumamosi ya tarehe...
11 years ago
GPL07 Apr
11 years ago
Michuzi07 Apr
11 years ago
MichuziHATIMAYE WASHINDI WATATU WA MASHINDANO YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI (TANZANIA MOVIE TALENTS) KWA KANDA YA ZIWA WAPATIKANA LEO JIJINI MWANZA
11 years ago
MichuziVIJANA WA NYEGEZI MWANZA WAHAMASISHWA KUJITOKEZA KWA WINGI KATIKA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LITAKALOFANYIKA KESHO JUMAMOSI ISAMILO LODGE KUANZIA SAA MOJA ASUBUHI
11 years ago
MichuziTIMU YA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS YAWASILI SALAMA MKOANI DODOMA TAYARI KWA ZOEZI LA USAILI LITAKALOANZA NA PROMOTION PARTY NDANI YA CLUB 84 LEO
Shindano hili linaendelea ambapo awali lilianzia Kanda ya Ziwa Mkoani Mwanza na hatimaye kupatikana kwa washindi watatu wa kanda ya Ziwa huku wakisubiri washindi wa Kanda nyingine kupatikana Kwaajili ya fainali kubwa itakayofanyika Mkoani Dar Es Salaam na mshindi mmoja kuibuka na Kitita Cha Shilingi Milioni...
11 years ago
MichuziSHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS LAENDELEA VYEMA SIKU YA LEO
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Tanzania Movie Talents (TMT): Nani kuchomwa na jua la utosi wiki hii?
![](http://3.bp.blogspot.com/-9ETYxUgj7KA/U80KPOq2MvI/AAAAAAAAaFw/k7bj0CvGHIE/s1600/ALLY.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t--q6fb893I/U80KPQ-i3sI/AAAAAAAAaF4/GYNJC8cdP1k/s1600/aneth.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZmWeWKV1L-w/U80KPRKFxfI/AAAAAAAAaF0/VzjG5CnFvsQ/s1600/isa.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IaEq8pcuLoI/U80KQbgGBtI/AAAAAAAAaHA/mwIyGrCHs2s/s1600/janeth.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xDaqfEQ6pYw/U80KQoHNQgI/AAAAAAAAaF8/srdRxT7LgiU/s1600/josh.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OpxnmBDtpms/U80KRdQH1fI/AAAAAAAAaGE/Jjo0cNHngwo/s1600/joy.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGWGiCDQkQU/U80KR0YzOvI/AAAAAAAAaGI/rx93gOFeBkQ/s1600/kaparata.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ow_gUjmD9fk/U80KSSayDBI/AAAAAAAAaGc/FDVTlIrlbFE/s1600/kiluswa.jpeg)
ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba yake ya ushiriki halafu tuma kwenda 15678. Mfano TMT00 tuma kwenda 15678
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z6vD711Gzpo/U80KSy-pUaI/AAAAAAAAaGU/ohSdaQ0gvmg/s1600/mwana.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ICEUvhEV1go/U80KUByCcoI/AAAAAAAAaGo/lstaSMQl7Y0/s1600/mwinshehe.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fQLdb0RffWI/U80KU78dRxI/AAAAAAAAaGw/keQYLl-I9Lo/s1600/obunde.jpeg)
![pendo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/pendo.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-szQG_JdtDPs/U80KWvjUSPI/AAAAAAAAaHM/t9aPy0MyTMw/s1600/said.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pkwdqptVtgw/U80KYJq8MQI/AAAAAAAAaHY/U0r20NVxfxU/s1600/shiraz.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bHIeQzJ2ik/U80KXiD73QI/AAAAAAAAaHQ/bc8frAm5yyo/s1600/stevs.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2w5TO_JBr4/U80KZb_eNGI/AAAAAAAAaHo/NhjUGOwTlzU/s1600/tish.jpeg)
ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba...