Wajumbe wa NEC wa CCM Dodoma waonywa
MWENYEKITI CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya mkoa huo kuacha kujitwisha misalaba ya wagombea urais huku wakiwa hawajui hatma ya maeneo yao wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wana-CCM Dodoma waonya wajumbe
10 years ago
Habarileo15 Oct
NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii
SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D9_bXA5UvgA/VaDdikINzYI/AAAAAAAAALw/J4L5NvLLKVw/s72-c/p.jpg)
Akamatwa na Mamilioni Akitaka kuwahonga Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-D9_bXA5UvgA/VaDdikINzYI/AAAAAAAAALw/J4L5NvLLKVw/s640/p.jpg)
Mtu mmoja amekamatwa mkoani dodoma na maburungutu ya fedha hotelini, inasemekana alikuwa na lengo la kuwahonga wajumbe wampitishe mmoja wa gombea uteuzi..nani kamtuma?
10 years ago
Mwananchi18 Oct
KAMPENI URAIS CCM: Noti zamwagwa Nec Dodoma
11 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-GxpkSYczW6s/UwCuDdXUPoI/AAAAAAAAj5k/syHciiT4p-0/s1600/1.+JK+akiwa+na+Dk+SHEIN+na+KINABA+baada+ya+kuwasili+ukumbini.jpg)
KIKAO CHA NEC CCM MJINI DODOMA JANA
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Wajumbe Bunge la Katiba waonywa
MASHIRIKA na asasi zisizokuwa za kiserikali kutoka mikoa ya Mwanza na Geita, wamewaonya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuhakikisha wanajadili na kupitisha Katiba nzuri inayotakiwa na wananchi ili kuepusha...
11 years ago
Habarileo17 Apr
Wajumbe Bunge Maalum watukana, waonywa
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameonywa kuacha lugha za matusi, kejeli na dharau kwa waasisi wa Muungano, hayati Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume na pia kati yao wenyewe kwani kufanya hivyo ni kulidhalilisha Taifa.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-fm81b5kW3EE/VWGw8imDSkI/AAAAAAAAuO8/cxhVcXFO4N8/s640/9n.jpg?width=640)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA