KAMPENI URAIS CCM: Noti zamwagwa Nec Dodoma
Baadhi ya makada wa wa CCM wanaotajwa kuwania urais kupitia chama hicho wanadaiwa kugeuza mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec), kuwa sehemu ya kampeni kwa wajumbe wa mkutano huo wakidaiwa kumwaga fedha usiku kucha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s640/1.png)
10 years ago
Habarileo15 Feb
Wajumbe wa NEC wa CCM Dodoma waonywa
MWENYEKITI CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya mkoa huo kuacha kujitwisha misalaba ya wagombea urais huku wakiwa hawajui hatma ya maeneo yao wakati nchi ikielekea kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo18 Oct
Urais 2015:Rushwa yajikita Nec CCM
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nnauye-oct18-2014.jpg)
Vitendo hivyo vinadaiwa kuanza mwanzoni mwa wiki hii, vikiwahusisha pia baadhi ya Makatibu wa CCM waliokutana mjini hapa kutoka mikoa yote nchini.
Rushwa hiyo inadaiwa kufanywa na waratibu wa baadhi ya mitandao ya wanaotajwa kutaka kuwania...
10 years ago
Habarileo15 Oct
NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii
SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.
11 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-GxpkSYczW6s/UwCuDdXUPoI/AAAAAAAAj5k/syHciiT4p-0/s1600/1.+JK+akiwa+na+Dk+SHEIN+na+KINABA+baada+ya+kuwasili+ukumbini.jpg)
KIKAO CHA NEC CCM MJINI DODOMA JANA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TUFiBBVU-jQ/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s72-c/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU WA NEC WA CCM, PEREIRA AME SILIMA AJITOSA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
![](https://1.bp.blogspot.com/-UaE95u-suxY/XvRutXTqCuI/AAAAAAAAWxQ/Nwo5q8wIjBsivLheNnzmyNcSBl4Zo_YdwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania21 Jan
Kampeni chafu urais CCM zapamba moto
JOTO la uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linazidi kupamba moto, huku uongozi wa juu wa chama hicho ukihaha kuwazima makada wanaodaiwa kuanza kampeni kabla ya muda.
Kutokana na hali hiyo, CCM imewataka wapambe na wagombea wao kuacha kutoa taarifa za uzushi dhidi ya makada sita wa chama hicho kwa lengo la kupotosha umma.
Akizungumza na waandishi wa habari jana visiwani Zanzibar, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Nape Nnauye, alisema chama hicho kitawachukulia hatua kali...