Urais 2015:Rushwa yajikita Nec CCM
Takukuru yazungumza, yaahidi kufuatilia
Nape asema inachangia kukichafua chama
Rushwa iliyokithiri inadaiwa kutolewa kwa baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoshiriki kikao kilichomalizika jana, mjini Dodoma.
Vitendo hivyo vinadaiwa kuanza mwanzoni mwa wiki hii, vikiwahusisha pia baadhi ya Makatibu wa CCM waliokutana mjini hapa kutoka mikoa yote nchini.
Rushwa hiyo inadaiwa kufanywa na waratibu wa baadhi ya mitandao ya wanaotajwa kutaka kuwania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Rushwa yaitesa CCM kuelekea urais 2015
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Makamba: CCM isipitishe watoa rushwa kugombea urais 2015
10 years ago
Mwananchi18 Oct
KAMPENI URAIS CCM: Noti zamwagwa Nec Dodoma
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s72-c/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU WA NEC WA CCM, PEREIRA AME SILIMA AJITOSA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-jLpuUx5Tn94/XvRutckMlUI/AAAAAAAAWxM/HUJ5x6HXH142eitkXUmgOMi-xMpPjXATwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25286%2529.jpg)
KATIBU wa NEC, Idara ya Oganaizesheni ya CCM Taifa, Pereira Ame Silima,Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ametimiza idadi ya wagombea 27
![](https://1.bp.blogspot.com/-UaE95u-suxY/XvRutXTqCuI/AAAAAAAAWxQ/Nwo5q8wIjBsivLheNnzmyNcSBl4Zo_YdwCLcBGAsYHQ/s400/NDG.%2BPereira%2Bame%2BSilima%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9957LAdp5A/VaECB6jZChI/AAAAAAAAwbc/S3m4Q6YZe2M/s640/1.jpg)
URAIS CCM: JK AONGOZA KIKAO CHA NEC LEO KUCHAGUA TATU BORA WATAKAOPELEKWA MKUTANO MKUU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s72-c/DSC_5634.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s640/DSC_5634.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GohRAeWI1Mw/Vbz_A9asL_I/AAAAAAAHtIE/XpMWjagnr3E/s640/DSC_7629.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/W-BK82a1GsuPmXwWvXnJN5KAm5VtXV5WmFaosWeG2OHkE8lj*z7HRCh3WSwLHXYswTYiJdLIvGPjeZciHwvyJO2dLdBmo0mP/13.gif)
MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015