Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa yaitesa CCM kuelekea urais 2015

Ikiwa imebaki miezi 10 tu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwakani, CCM kinaonekana kuteswa na tuhuma za rushwa inayodaiwa kutolewa na makada wake wanaotajwa kutaka kuwania nafasi mbalimbali ukiwamo urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Urais 2015:Rushwa yajikita Nec CCM

  Takukuru yazungumza, yaahidi kufuatilia
  Nape asema inachangia kukichafua chamaRushwa iliyokithiri inadaiwa kutolewa kwa baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaoshiriki kikao kilichomalizika jana, mjini Dodoma.

Vitendo hivyo vinadaiwa kuanza mwanzoni mwa wiki hii, vikiwahusisha pia baadhi ya Makatibu wa CCM waliokutana mjini hapa kutoka mikoa yote nchini.

Rushwa hiyo inadaiwa kufanywa na waratibu wa baadhi ya mitandao ya wanaotajwa kutaka kuwania...

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba: CCM isipitishe watoa rushwa kugombea urais 2015

Moja kati ya vitu vinavyotajwa kurudusha nyuma maendeleo ya Tanzania ni kushamiri kwa rushwa katika sekta mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

MKOA WA MARA WAMDHAMINI MWIGULU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015 NAFASI YA URAIS


Mwigulu Nchemba akishuhudia mmoja ya wadhamini wake wakijiorodhesha kwenye Fomu ya wadhamini.Mwigulu Nchemba akioneshwa orodha ya Wanachama wa CCM waliomdhamini mkoa wa Mara.Aliyeshika orodha ya Majina ni Katibu wa CCM wilaya ya Musoma Mjini.
Mwigulu Nchemba akikabidhiwa orodha ya WanaCCM waliomdhamini kwenye safari ya Kukamilisha taratibu za Chama ili aweze kuteuliwa Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mwigulu Nchemba akionesha orodha ya wadhamini wake kwa Mkoa wa Mara.

 

10 years ago

Vijimambo

NCHINI TANZANIA,MWIGULU SASA AONGOZA SAFU YA KUKUBALIKA KUELEKEA UCHAGUZI WA URAIS 2015,AWABWAGA VIJANA WENZAKE

Wasaka urais vijana: Utafiti wamng'arisha MwiguluNa Moshi Lusonzo ..
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.Harakati za Uchaguzi Mkuu zimeendelea kushika kasi, baada ya utafiti uliotolewa jana kumtaja Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuongoza kundi la wanasiasa vijana wanaokubalika na Watanzania katika kugombea nafasi ya urais.
Akizungumza jijini Dar es salaam jana
wakati akizindua ripoti ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (Tedro), Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mambo matatu yaitesa CCM

MBIO za kusaka urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na uteuzi wa nafasi nne za mawaziri, vinaelezwa kukibomoa chama hicho, Tanzania Daima limedokezwa. Mbali na mambo hayo, mchakato...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).

2

 

10 years ago

Mwananchi

Urais 2015: CCM, Ukawa hapatoshi

Harakati za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao inaonekana kushika kasi. Tayari wanasiasa kutoka pande mbili zinazovutana ndani ya chama tawala, CCM na kwa upande wa pili ndani ya kambi ya upinzani (Ukawa) wameanza kuweka mikakati.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : CCM ijihadhari majimbo ya Mbarali, Mbozi Magharibi na Mbozi Mashariki

Jimbo la Mbarali kama yalivyo mengine lilianza siasa za vyama vingi mwaka 1995 kwa ushawishi wa kipekee kutoka kwa vyama mbalimbali, huku NCCR Mageuzi ikionyesha kila aina ya makeke.

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015

MBUNGE wa Biharamulo Mashariki (CCM) na Waziri wa Ujenzi, Mhe. John Pombe Magufuli ameshinda katika uchaguzi wa kumpata mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015. Magufuli ameshinda baada ya kupata jumla ya kura 2104 sawa na 87.1%, Balozi Amina Salum Ali amepata kura 253 sawa na 10.5% na Dk. Asha-Rose Migiro 59 sawa na 2.4%. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ndiye aliyepewa jukumu la kutangaza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani