Mapendekezo ya katiba yapishwa:Uganda
Wajumbe wa chama tawala cha National Resistance Movement nchini Uganda wamepitisha mapendekezo ya katiba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA
Na Hassan Hamad (OMKR). Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF Taifa wamepitisha mapendekezo mbali mbali yaliyowasilishwa na Baraza Kuu la uongozi la chama hicho kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya katiba ya chama hicho. Katika mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea kwa siku ya tatu katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam, wajumbe hao pamoja na mambo mengine wamekubaliana kuwa mkutano mkuu wa chama hicho ufanyike mara moja katika kipindi cha miaka mitano badala ya miaka miwili na...
11 years ago
Mwananchi02 Nov
Pale tunapotupa Mapendekezo ya Katiba ya kimapinduzi
Leo hii kuna mdahalo mkubwa pale Ubungo Plaza, Mdahalo huu utaongozwa na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye ataambatana na wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba kutoka Tanzania Bara na kutoka Zanzibar.
11 years ago
GPLUMOJA WA MACHIFU TANZANIA (UMT) WAWASILISHA MAPENDEKEZO YAO KUHUSIANA NA RASIMU YA KATIBA MPYA
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu akiwaeleza jambo Wawakilishi wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuhusu mapendekezo yao waliyoyawasilisha kwake kwaajili ya Katiba Mpya. Chifu John Nyanza (aliyekaa katikati) wa kutoka Magu akimueleza jambo Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu (kulia) juu ya uwasilishaji wa mapendekezo yao kwa ajili ya Katiba Mpya alipokutana naye kwenye...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?
Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
TCD yashauri mapendekezo 16
Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimetoa maazimio 16 likiwemo la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujenga hoja na kuepuka kusukumwa na maslahi binafsi na ya vyama vyao vya siasa katika mchakato wa kupata Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi21 May
Mapendekezo ya CAG yanapuuzwa
Dar es Salaam. Ushauri unaotolewa mara kwa mara kwa Serikali, taasisi zake na mashirika ya umma umekuwa ukipuuzwa na kusababisha Serikali kuendelea kupoteza fedha nyingi kwa njia ya ufisadi huku Deni la Taifa likizidi kukua, kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi maalumu wa miaka mitano ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Mapendekezo ya Zitto balaa
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali(PAC),Zitto Kabwe, amesema kamati yake itatoa hoja ya kuanza mchakato wa kikatiba wa kumvua ujaji, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, jaji Frederick Werema. Mbali...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
IMF yapokea mapendekezo ya Ugiriki
Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF limepokea mapendekezo mapya kutoka serikali ya Ugiriki .
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mapendekezo ya amani Sudan-K yatangazwa
Wapatanishi wa Sudan Kusini waamua kudhihirisha mapendekezo yao ya amani kuhusu nchi hiyo huku siku zasonga
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania