Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapendekezo ya katiba yapishwa:Uganda

Wajumbe wa chama tawala cha National Resistance Movement nchini Uganda wamepitisha mapendekezo ya katiba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA

Na Hassan Hamad (OMKR). Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF Taifa wamepitisha mapendekezo mbali mbali yaliyowasilishwa na Baraza Kuu la uongozi la chama hicho kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya katiba ya chama hicho. Katika mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea kwa siku ya tatu katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam, wajumbe hao pamoja na mambo mengine wamekubaliana kuwa mkutano mkuu wa chama hicho ufanyike mara moja katika kipindi cha miaka mitano badala ya miaka miwili na...

 

11 years ago

Mwananchi

Pale tunapotupa Mapendekezo ya Katiba ya kimapinduzi

Leo hii kuna mdahalo mkubwa pale Ubungo Plaza, Mdahalo huu utaongozwa na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye ataambatana na wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba kutoka Tanzania Bara na kutoka Zanzibar.

 

11 years ago

GPL

UMOJA WA MACHIFU TANZANIA (UMT) WAWASILISHA MAPENDEKEZO YAO KUHUSIANA NA RASIMU YA KATIBA MPYA

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu akiwaeleza jambo Wawakilishi wa Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) kuhusu mapendekezo yao waliyoyawasilisha kwake kwaajili ya Katiba Mpya. Chifu John Nyanza (aliyekaa katikati) wa kutoka Magu akimueleza jambo Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samia Suluhu (kulia) juu ya uwasilishaji wa mapendekezo yao kwa ajili ya Katiba Mpya alipokutana naye kwenye...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

11 years ago

Mwananchi

TCD yashauri mapendekezo 16

Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimetoa maazimio 16 likiwemo la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kujenga hoja na kuepuka kusukumwa na maslahi binafsi na ya vyama vyao vya siasa katika mchakato wa kupata Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapendekezo ya CAG yanapuuzwa

Dar es Salaam. Ushauri unaotolewa mara kwa mara kwa Serikali, taasisi zake na mashirika ya umma umekuwa ukipuuzwa na kusababisha Serikali kuendelea kupoteza fedha nyingi kwa njia ya ufisadi huku Deni la Taifa likizidi kukua, kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi maalumu wa miaka mitano ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mapendekezo ya Zitto balaa

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali(PAC),Zitto Kabwe, amesema kamati yake itatoa hoja ya kuanza mchakato wa kikatiba wa  kumvua ujaji, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, jaji Frederick Werema. Mbali...

 

10 years ago

BBCSwahili

IMF yapokea mapendekezo ya Ugiriki

Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF limepokea mapendekezo mapya kutoka serikali ya Ugiriki .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapendekezo ya amani Sudan-K yatangazwa

Wapatanishi wa Sudan Kusini waamua kudhihirisha mapendekezo yao ya amani kuhusu nchi hiyo huku siku zasonga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani