Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Kawowo Sports

AFCON 2021 Qualifiers: Three freshers on Uganda Cranes squad for South Sudan duty

AFCON 2021 Qualifiers: Three freshers on Uganda Cranes squad for South Sudan duty  Kawowo Sports

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda

Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa upinzani Uganda waachiliwa

Viongozi wawili wa upinzani nchini Uganda ambao walikuwa wamekamatwa mapema leo hatimaye wameachiliwa huru

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washindwa kuungana Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja katika uchaguzi wa mwaka ujao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Upinzani Uganda: Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi waunda muungano

Viongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine wameunda muungano wa upinzani.

 

9 years ago

StarTV

Serikali Yakataa Ombi la UKAWA Kutumia Uwanja wa Taifa kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu

    Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) akikanusha kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) uliopo jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa kutoka Serikalini kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika Ukumbi wa Idara...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona

 

10 years ago

Dewji Blog

Msajili wa vyama vya siasa kutumia redio jamii kuelimisha umma

DSC_0009

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye, akiutambulisha ujumbe wa wageni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini kwa Wenyeviti wa bodi na mameneja wa redio za jamii nchini waliohudhuria warsha ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika kuboresha masoko kwenye vituo vyao iliyofadhiliwa na shirika la maendeleo la Sweden (SIDA) na kuratibiwa na UNESCO.

Na Mwandishi Wetu, Sengerema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani