Upinzani Uganda: Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi waunda muungano
Viongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine wameunda muungano wa upinzani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Kizza Besigye akamatwa Uganda
Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC) nchini Uganda, Kizza Besigye amekamatwa pamoja na wanachama wengine wa chama chake.
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/12E4C/production/_84188377_84186978.jpg)
VIDEO: Uganda's Mbabazi and Besigye released
Two presidential hopefuls in Uganda have been released, hours after they were arrested.
9 years ago
TheCitizen31 Oct
Uganda FDC denies Besigye quit for Mbabazi
The Forum for Democratic Change (FDC) has denied reports that the party flag bearer, Kizza Besigye has reached an agreement with the Go Forward Presidential Aspirant, Amama Mbabazi to step down for him.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?
Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.
9 years ago
TheCitizen30 Dec
Uganda Presidential candidate Besigye rallies in West Nile
The Forum for Democratic Change presidential candidate, Dr Kizza Besigye, is combing various villages in the region soliciting for votes to overturn popularity of the incumbent President Museveni.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Upinzani watoa sababu kutokushiriki Muungano
Baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani wametoa sababu zilizowafanya wasihudhurie sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Viongozi wa upinzani Uganda waachiliwa
Viongozi wawili wa upinzani nchini Uganda ambao walikuwa wamekamatwa mapema leo hatimaye wameachiliwa huru
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda
Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Upinzani washindwa kuungana Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania