Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upinzani washindwa kuungana Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja katika uchaguzi wa mwaka ujao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani wadai kuchunguzwa Uganda

Rais Yoweri Museveni amelalamikiwa na baadhi ya wapinzani kuwa anawachunguza kwa maslahi yake binafsi

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa upinzani Uganda waachiliwa

Viongozi wawili wa upinzani nchini Uganda ambao walikuwa wamekamatwa mapema leo hatimaye wameachiliwa huru

 

5 years ago

BBCSwahili

Upinzani Uganda: Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi waunda muungano

Viongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine wameunda muungano wa upinzani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa yaombwa kuungana dhidi ya IS

Waziri mkuu wa Australia, Tony Abbott, ameyaomba mataifa ya Asia-Pacific kuungana ili kusaidia katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Nape abeza Ukawa kuungana

Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampuni za pombe AB InBev na SABMiller kuungana

Kampuni mbili kubwa zinazozalisha pombe duniani zinatarajiwa kuungana baada ya SABMiller kukubali kiwango zaidi cha fedha cha kuinunua kutoka kwa mpizani wake mkubwa Anheuser-Busch InBev.

 

10 years ago

Vijimambo

WAKULIMA WA MAZAO YA HORTICULTURE WAHAMASISHWA KUUNGANA.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbarali, Alfred Mzurikwao, akizungumza na wakulima mbali mbali alipokuwa amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbarali katika sherehe za Wakulima zilizofanyika katika skimu ya umwagiliaji ya Ilaji iliyoko Mbarali mkoani Mbeya.Afisa wa TAHA, Isac Ndemanhile, akizungumza na wakulima zaidi ya 300 waliohudhuria sherehe za wakulima katika skimu ya Ilaji.Maafisa wa TAHA wakitoa maelezo kwa mgeni rasmi katika moja ya mashamba ya wakulima yanayoendeshwa kwa kufuata teknolojia...

 

10 years ago

Habarileo

Daladala 1,800 zajiokoa kwa kuungana na UDA

UWEZEKANO wa kufa kwa sehemu kubwa ya biashara ya daladala jijini Dar es Salaam umepungua, baada ya wamiliki wa biashara hiyo kuingia mkataba na Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), ili kuendesha Mradi wa Mabasi ya Kasi Dar es Salaam (DART).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani