Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni za pombe AB InBev na SABMiller kuungana

Kampuni mbili kubwa zinazozalisha pombe duniani zinatarajiwa kuungana baada ya SABMiller kukubali kiwango zaidi cha fedha cha kuinunua kutoka kwa mpizani wake mkubwa Anheuser-Busch InBev.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni za pombe zalalamika Kenya

Kampuni zinazotengeza pombe nchini Kenya zimelalamikia kupata hasara ya mamilioni ya dola huku kampeni ya kufunga kampuni zinazotengeza pombe haramu ikikamilika.

 

9 years ago

TheCitizen

SABMiller keen on environment

SABMiller, which owns a controlling stake in Tanzania Breweries Limited (TBL), has said it is undertaking several steps to protect the environment, in line with resolutions of the 2015 United Nations Climate Change Conference.

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

Michuzi

SABMILLER AFRICA/TBL ZAISADIA ACE AFRICA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI ARUMERU


Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  Robin Goetzche (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Kimarekani 64,000, Mwasisi na Mkurugenzi wa Taasisi ya ACE Africa, Joanna Waddington katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya TBL, Dar es Salaam jana. Msaada huo uliotolewa na TBL kwa niaba ya Kampuni ya Sabmiller Afrika ni kwa ajili ya kusaidia kuboresha ufugaji wa mbuzi, kuongeza uzalishaji wa mazao ya vyakula na sekta ya maji katika Wilaya ya Arumeru,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mataifa yaombwa kuungana dhidi ya IS

Waziri mkuu wa Australia, Tony Abbott, ameyaomba mataifa ya Asia-Pacific kuungana ili kusaidia katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Nape abeza Ukawa kuungana

Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani washindwa kuungana Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja katika uchaguzi wa mwaka ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani