Kampuni za pombe AB InBev na SABMiller kuungana
Kampuni mbili kubwa zinazozalisha pombe duniani zinatarajiwa kuungana baada ya SABMiller kukubali kiwango zaidi cha fedha cha kuinunua kutoka kwa mpizani wake mkubwa Anheuser-Busch InBev.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Kampuni za pombe zalalamika Kenya
Kampuni zinazotengeza pombe nchini Kenya zimelalamikia kupata hasara ya mamilioni ya dola huku kampeni ya kufunga kampuni zinazotengeza pombe haramu ikikamilika.
9 years ago
TheCitizen29 Dec
SABMiller keen on environment
SABMiller, which owns a controlling stake in Tanzania Breweries Limited (TBL), has said it is undertaking several steps to protect the environment, in line with resolutions of the 2015 United Nations Climate Change Conference.
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
11 years ago
MichuziSABMILLER AFRICA/TBL ZAISADIA ACE AFRICA KUBORESHA MAISHA YA WANANCHI ARUMERU
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mataifa yaombwa kuungana dhidi ya IS
Waziri mkuu wa Australia, Tony Abbott, ameyaomba mataifa ya Asia-Pacific kuungana ili kusaidia katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Nape abeza Ukawa kuungana
Siku moja baada ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutangaza kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya urais na ubunge majimboni, CCM kimebeza hatua hiyo kikisema viongozi hao hawawezi kukaa zizi moja.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Upinzani washindwa kuungana Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni huenda akapata afueni baada ya muungano wa upinzani kushindwa kuungana kufuatia mkutano mrefu wa wiki moja ili kukubaliana kuhusu mgombea mmoja katika uchaguzi wa mwaka ujao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania