Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA

Na Hassan Hamad (OMKR). Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF Taifa wamepitisha mapendekezo mbali mbali yaliyowasilishwa na Baraza Kuu la uongozi la chama hicho kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya katiba ya chama hicho. Katika mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea kwa siku ya tatu katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam, wajumbe hao pamoja na mambo mengine wamekubaliana kuwa mkutano mkuu wa chama hicho ufanyike mara moja katika kipindi cha miaka mitano badala ya miaka miwili na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Katiba inayopendekezwa yapitishwa TZ

Bunge maalumu la Katiba nchini Tanzania limepitisha rasimu ya katiba iliyopendekezwa, baada ya wajumbe wengi kuikubali.

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa makandarasi ufanyiwe marekebisho -CUF

MWAKILISHI wa jimbo la Ole kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Hamad Masoud ameitaka Wizara ya Ardhi, Makazi, Maji na Nishati kuifanyia marekebisho miswada mitatu iliopo chini ya Wizara hiyo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wajumbe CUF wagomea mapendekezo ya Seif


NA RABIA BAKARI
ZAIDI ya asilimia 85 ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu  wa CUF, wamekataa pendekezo la kutaka kuongezwa madaraka kwa upande wa mikoa.
Pendekezo hilo lilitolewa na Katibu Mkuu aliyejiuzulu kupisha uchaguzi uliofanyika jana, Maalim Seif Shariff Hamad, lilikataliwa na wajumbe hao kwa madai itakuwa mzigo mzito kwa  chama.
Kutokana na hali hiyo, CUF haitakuwa na muundo unaofanana na vyama vingine ikiwemo CHADEMA na NCCR-Mageuzi, ambavyo vyenyewe vina uongozi kwa ngazi ya mkoa, na hivyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanyarwanda waidhinisha marekebisho ya katiba

Wanyarwanda wameunga mkono kwa wingi marekebisho ya katiba ambayo yatamruhusu Rais Paul Kagame kuendelea kuongoza, matokeo ya awali ya kura ya maoni yanaonyesha.

 

10 years ago

Habarileo

Mjumbe ataka marekebisho Bunge la Katiba

SIKU chache baada ya Bunge Maalumu la Katiba (BMK) kupokea rasimu ya Katiba mpya iliyopendekezwa, mmoja wa wajumbe wa bunge hilo anayetoka kundi la 201, John Ndumbaro ameibukia mjini hapa na kutaka vipengele kadhaa vifanyiwe marekebisho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekebisho ya katiba yaidhinishwa Congo-Brazzaville

Wapiga kura nchini Congo-Brazzaville wameidhinisha marekebisho ya katiba yanayomruhusu rais wa sasa kuwania kwa muhula wa tatu.

 

11 years ago

GPL

SIMBA YAPITISHA MAREKEBISHO YA KATIBA MPYA

Viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Simba wakiwa kwenye mkutano wa marekebisho ya katiba. Mwenyekiti wa Simba SC, Ismail Aden Rage, akihutubia.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapendekezo ya katiba yapishwa:Uganda

Wajumbe wa chama tawala cha National Resistance Movement nchini Uganda wamepitisha mapendekezo ya katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani