Wajumbe CUF wagomea mapendekezo ya Seif
NA RABIA BAKARI
ZAIDI ya asilimia 85 ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF, wamekataa pendekezo la kutaka kuongezwa madaraka kwa upande wa mikoa.
Pendekezo hilo lilitolewa na Katibu Mkuu aliyejiuzulu kupisha uchaguzi uliofanyika jana, Maalim Seif Shariff Hamad, lilikataliwa na wajumbe hao kwa madai itakuwa mzigo mzito kwa chama.
Kutokana na hali hiyo, CUF haitakuwa na muundo unaofanana na vyama vingine ikiwemo CHADEMA na NCCR-Mageuzi, ambavyo vyenyewe vina uongozi kwa ngazi ya mkoa, na hivyo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Uf2ss_Zu0vo/U6qWiLyVsGI/AAAAAAAFs48/bEVDZ81zPWc/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MAPENDEKEZO YA MAREKEBISHO YA KATIBA YA CUF YAPITISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/90CXu9YQeFE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakutana
![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iyLef7AMZ6g/U7ACcbfIA9I/AAAAAAAFtbE/vIStBPcQ8BQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-50w6VNlN0RI/VQ2Ghg7dK7I/AAAAAAABpHE/BBptDMpl83M/s72-c/waz1.jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMUZA NA WAZEE CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-50w6VNlN0RI/VQ2Ghg7dK7I/AAAAAAABpHE/BBptDMpl83M/s640/waz1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sB44FjXadRI/VQ2GjXJ4YEI/AAAAAAABpHM/0A6fUMj5o4I/s640/waz2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NiL_zMF3Jz4/VQ2GgpBEu0I/AAAAAAABpG8/adW25XUd6Vs/s640/waz3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IVXpZ5-gnh4/VQ2Gmg7DyoI/AAAAAAABpHU/gcSU7CCVAJs/s640/waz4.jpg)
11 years ago
Habarileo01 Jun
Maalim Seif aita washindani CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amerejesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, na kusisitiza msimamo wake wa kuendelea kuwaunganisha Wazanzibari.
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wanachama 34 CUF wawakataa Seif, Lipumba
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
MAALIM SEIF AZUNGUMZA NA WAZEE WA CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-PUcK98SfzZo/VQ1gyoo9i2I/AAAAAAAHL8E/LOOYKDDrewo/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xcA898AMLps/VQ1gyhY_sII/AAAAAAAHL8I/k3HnbrKYcBg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Nov
CUF yamkana Balozi Seif Iddi
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Maalim Seif ajivunia mafanikio CUF
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema mafanikio na changamoto katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, viwe vitendea kazi kwa uongozi mpya utakaopatikana baada ya...