CUF yamkana Balozi Seif Iddi
Chama cha Wananchi CUF kimemkana Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi kikieleza kuwa msimamo wake wa kukataa kurudiwa kwa uchaguzi visiwani humo uko palepale.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4pR4h8KkUo8/VHIWaKQKYEI/AAAAAAACTT0/vin8hHYESsI/s72-c/498.jpg)
BALOZI SEIF IDDI ZIARAN NCHINI CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4pR4h8KkUo8/VHIWaKQKYEI/AAAAAAACTT0/vin8hHYESsI/s640/498.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bh4OZv_YxrI/VHIWZ-cgRWI/AAAAAAACTT4/MWKR4BgWaO0/s640/522.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Dec
Balozi Seif Iddi awapa somo wanaCCM Pemba
WANANCHI wa kisiwa cha Pemba wametakiwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa ambayo imekuja na muundo wa Serikali mbili ambao ndiyo utakaowaunganisha wananchi na kuwa kitu kimoja na sio kuwagawa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d0a8-dI4zGo/Xkg8BZsCi6I/AAAAAAALdhM/EptWN6WoaNID_wrMb7HVMGW0859VliyAgCLcBGAsYHQ/s72-c/d90fd2da-9800-4ba0-ba86-d377297e900b.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI SEIF IDDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-d0a8-dI4zGo/Xkg8BZsCi6I/AAAAAAALdhM/EptWN6WoaNID_wrMb7HVMGW0859VliyAgCLcBGAsYHQ/s640/d90fd2da-9800-4ba0-ba86-d377297e900b.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi (wa pili kushoto) akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu (kushoto) aliyefika ofisni kwake, Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha baada ya kuteuliwa hivi karibuni kushika nafasi hiyo. Wengine pichani ni Waziri wa Nchi Ofisi ya...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yVijUyE_LRk/U7hJKhnTaXI/AAAAAAAFvMk/QWGFr-hxwMk/s72-c/unnamed+(38).jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
10 years ago
Dewji Blog16 Sep
Balozi Seif Iddi awataka viongozi wa dini kuhubiri amani
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiingia ndani ya Ukumbi wa Masai Laugwa Wilaya ya Bagamoyo kuzindua Tamasha la Kuliombea Taifa Amani lililoandaliwa na Kanisa la Restoration { Restoration Bible Church }.Kulia kwa Balozi Seif ni Makamu Askofu Mkuu wa Restoration Bible Church Tanzania Askofu Sedrick Ndonde na kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Nd. Ahmed Kipozi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Viongozi wa Kidini wanapaswa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQUYcE3T7kZBnGmokUMk4SuJ8sEEKqipdBUyFLjAKKstPQiDM7zz-Lhc8mJuz4cHMtQvBwbwOGpOzZhq1yH94v1ddhlKQ1Yd/unnamed5.jpg?width=650)
BALOZI SEIF IDDI AFANYA ZIARA BANDARI YA MALINDI, ZANZIBAR