Balozi Seif Iddi awapa somo wanaCCM Pemba
WANANCHI wa kisiwa cha Pemba wametakiwa kuunga mkono Katiba Inayopendekezwa ambayo imekuja na muundo wa Serikali mbili ambao ndiyo utakaowaunganisha wananchi na kuwa kitu kimoja na sio kuwagawa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Balozi Seif awapa somo watendaji
 Kukosekana kwa uhusiano mzuri kati ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala nchini, kunachangia kutopatikana huduma bora kwa jamii.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OtjnUny52Vs/U6XOMnGMc4I/AAAAAAAFsLU/XM3MJDhSk5g/s72-c/748.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.
Na Othman Khamis Ame, OMPR
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Hakmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuhakikisha kinashinda kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015 ili kiendelee kusimamia uhimili wa amani ya Taifa iliyopo hivi sasa.
Balozi Seif alisema hayo wakati akizungumza na Viongozi pamojana Wana CCM wa Kisiwa Panza Wilaya ya Makoani Pemba mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi la Mtondooni Kisiwani...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s72-c/196.jpg)
BALOZI SEIF IDDI MGENI RASMI KWENYE MAHAFALI YA SHUO CHA ELIMU YA BIASHARA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s1600/196.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePkPcp6PBNs/VOnXRQFCZyI/AAAAAAAHFOA/HtgdRZe6o6g/s1600/203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CDPo5hddbMU/VOnXP9Y-jSI/AAAAAAAHFNo/9QXlY1zkl1s/s1600/183.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-44VCDZFyu1E/VJ1P_AcHpxI/AAAAAAAG54I/trzBdM0qxQA/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa Bara bara ya Wete hado Konde,Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-44VCDZFyu1E/VJ1P_AcHpxI/AAAAAAAG54I/trzBdM0qxQA/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ee7Fc-aY1WI/VJ1P-zjgedI/AAAAAAAG54M/fEujeoRFOwg/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Harakati za...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s72-c/unnamed+(47).jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia aagana na balozi iddi seif zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-PJtNMZxq__w/UvXVoqdhP5I/AAAAAAAFLs0/A00maSGFGUw/s1600/unnamed+(47).jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Feb
USHIRIKIANO: Balozi Taj awapa somo wafanyabiashara
>Wafanyabiashara wa Tanzania wamehamasishwa kushiriki katika maonyesho mbalimbali yanayoratibiwa na wenzao wa Ufaransa ili kujifunza na kuongeza tija katika uhusiano uliopo wa nchi hizi mbili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXcPYJlqNp8/VNNVFWsqMjI/AAAAAAAHB7M/2xGFE32hcLU/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake
Kampuni ya Ms Shimoja yenye Makao Makuu yake katika Jimbo la Michigan Nchini Marekani iko mbioni kutaka kuanzisha kituo cha Matangazo ya Televisheni Mjini Dar es salaam Nchini Tanzania kitakachotoa huduma ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
CUF yamkana Balozi Seif Iddi
Chama cha Wananchi CUF kimemkana Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi kikieleza kuwa msimamo wake wa kukataa kurudiwa kwa uchaguzi visiwani humo uko palepale.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania